Da Lu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 1,210
- 2,833
AliExpress wengi ni wauzaji wa reje reja na bei zao ziko juu kidogo.Alibaba ni wauzaji wa jumla yaan ni kutoka kiwandani.Hivi Nini tofauti ya Alibaba na AliExpress?
AliExpress wengi ni wauzaji wa reje reja na bei zao ziko juu kidogo.Alibaba ni wauzaji wa jumla yaan ni kutoka kiwandani.Hivi Nini tofauti ya Alibaba na AliExpress?
Ulienda mwenyewe China ama uliagiza kupitia nini?Mi kuna mzigo wangu mpaka leo sijawahi kuupata sasa ina miezi 8
Niliagiza kupitia MtuUlienda mwenyewe China ama uliagiza kupitia nini?
Mi kuna mzigo wangu mpaka leo sijawahi kuupata sasa ina miezi 8
Pale kituo cha polisi ule mtaa unaofuatia ukivuka barabara kama unaelekea double cabinTandika Sokoni upande gani? Maana Tandika kubwa...idea nzuri sana umetoa
Ndio Biashara hizo bossDuh miezi 8?
Pigia tu mstari ushanyolewa mkuu.
Toa link ya grup lako niingieInategemea sana mkuu na aina gani ya hivyo vitu utavihitaji, kwa maana ya quality maana quality zote zinapatikana na kwa sehemu kubwa ndo zinachangia suala la bei.. but roughly ukiwa na laki nne maybe bila gharama za usafiri unaeza pata pata hizo cover na earphones.. Hapo itategemea sasa wewe utauza bei gani huko bongo
Yes mkuu hata mm nauza online na nashukur napata customersMkuu hata mimi nakuunga mkono uuze online. Wananchi waambie tu ukweli wa vitu ulivyo navyo. Wengi online wanaonekana matapeli kwa sababu utakuta hana stock yoyote na hana connection nzuri ya kupata bidhaa aliyotangaza.
Biashara gani mkuu,? Na mzigo unatoa wapi?Yes mkuu hata mm nauza online na nashukur napata customers
Niunge kwenye hilo group lako la whatsappNina group la whatsapp la wateja wengi ninaowanunulia kutokea huku Guanzhou, karibu kama utakuwa interested.. uaminifu utaverify kwa wateja wengine pia, na bei ruksa kuuliza ukafananishe na alibaba