JAMBONIA LTD
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 576
- 263
Mimi ni mwalimu wa Chemistry na Biology kwa miaka minne sasa.. Nina BSc. Ed, ninafikiria kuapply Medical Doctor. na kuwa daktari huko siku za mbele badala ya kusoma Masters.. Kwa sasa nina miaka 30..
Je, unanishaurije? Ahsante..
Je, unanishaurije? Ahsante..