Unataka kuacha kazi au kubadili kazi ??? maana biashara nayo ni kazi pia
tuko same boat..
lakini mimi wife imebidi anielewe tu.
na nashukuru ameelewa vizuri sana somo nililompa...
ushauri wangu wape somo tu,, kama anataka siku zote muwe na maisha hayo hayo baki kazini..
ila kama anahitaji one day nae aende vacation bangkok au paris kama wenzake kina nancy sumari, k lyn na wengineo.. lazima akubali kusapoti risk za ujasiriamali...
mi tangu nikiangalia ndugu zangu, majirani, na wafanyakazi wenzangu naona maisha yetu yanafanana fanana tu ya kuganga njaa pamoja na kufanya kazi miaka kibao... hakuna hata mmoja aliepeleka hata familia vacation siku moja japo serengeri grumeti tu...
lakini wajasiriamali wengi wao wanafanya mambo makubwa baada ya kusota kutafuta kwa jasho lao
hivi una mda gani kazini mpaka ufikishe huo mshahara hapo halmashauri kwenu? mi nakuona kama muongo tu unaeuza maneno na kutaka sifa.maana mi mwenyewe nafanya kazi halmashauri.
Hivi vitu havihitaji ushauri hata Kutoka kwa mama yako, kwa vyovyote vile watakukatalia kuacha kazi na haya mambo yanatokana na jinsi jamii ilivyo.
Mimi nimeamua kuacha kazi baada ya kufanya kazi kwa miaka nane, nimeona nikiendelea na kazi maisha yangu yatakuwa yaleyale tu, baba yangu kufanya kazi miaka zaidi ya 35,mama yangu Ana karibia miaka 40 ya utumishi maisha Yao ni ya kawaida,mimi hayo Maisha si yataki .
Kwa kifupi wewe una ndoto ipi mimi ndoto yangu ni kujiajiri na nimeanza kuwekeza kwenye kilimo cha zao la Kahawa nina miaka minne Sasa kwenye mradi huo, bado sijavuna mazao ya kutosha lakini lengo langu ni kuwa na shamba kubwa Sana la Kahawa ingawa changamoto ni nyingi sijakata tamaa.
Sasa ili kuwa na mradi mkubwa kama huo siwezi tena kuajiriwa bali kuajiri na kuwasimamia wafanyakazi wenzangu wa kwenye shamba langu.
Kuna changamoto nyingi sana za kujiajiri inabidi uzikabiri bila kuziogopa.
Njo PM nitakuambia ,japo kwa MTU ambaye sio Wa profession hii,kuna changamoto zake japo wapo wanaofanikiwa pia kwa Ku hire professionals
Ndugu yangu huwezi kuishi kulingana na maoni ya watu. Ishi kulingangana na malengo, maono na ndoto ulizonazo. Acha kazi hata leo nenda ukawe mkrugenzi wa biashara zako mwenyewe achana na umaskini wa kuripoti kwa watu. Acha wafanyakazi wako waripoti kwako, weka mikakati ya biashara zako Utatoboa tu.
Nakushauri usiache kaz, bali tafta mtu qualified katika biashara unazojishughulisha nazo umlipe na kumsimamia unapokua free.
Noted bro