Ushauri: Nashindwa kumsahau kabisa mpenzi wangu wa zamani

Tafuta mpenzi mwingine acha kujiendekeza
Move on kata mawasiliano naye, you wont die , wewe mtoto wa kiume plz pinguza kulalamika chukua hatua
Haya now go work on it
Shida anapiga simu sana.. nisipokea atatuma sms anajidai ananisalimia nashindwa kumuelewa anamaanisha nn
 
Mengi aliofanya ni mazuri mpaka nasahau mabaya

Yeye maana alisema anataka kuwa mwenyew ...yaan awe single n sijui nn chanzo..
Ili umsahau lazima 'umuue' huyo ex wako moyoni mwako.
Kubaliana na hali hiyo,tafuta mwingine (ila usiwe na haraka maana unaweza kusukumwa na hisia/kisasi ukamkubalia 'anayekutongoza' halafu baadaye ukajua kuwa hukumpenda ile ulimfanya kiliwazo)
Kama unamwamini Mungu, mshirikishe akupe wako.
Someone is waiting for you out there.
 
Hakuna namna utakayoweza kufanya kwa haraka ili umsahau mtu uliyempenda saaana!!haipo.

Chakufanya wewe ni kukubali matokeo kwamba mahusiano yamekwisha,hata kama bado unampenda sana!kubali yaishe halafu maisha mengine yaendelee..

Ndio ukubwa huo,yaani ukiona watu wanaoana huko nje usidhani wanapendana saaaana!!La hasha,bali wameamua kukubaliana na ukweli na kuendelea na maisha mengine kwa amani...
 
Mkuu kwa sasa akijileta we kula vitu vyako, huku ukitafuta mtoto mkali zaidi yake,
Yeye mfute polepole na mfanye wa kuzugia si anataka kuwa single!

Bango
 
Ndio ukubwa huo,yaani ukiona watu wanaoana huko nje usidhani wanapendana saaaana!!La hasha,bali wameamua kukubaliana na ukweli na kuendelea na maisha mengine kwa amani...

Asee ndio maana talaka nyingi, usioe au usiolewe kama umeshindwa zoezi dogo la kumsahau aliye pita. Ndoa ni zoez kubwa sana sio la kuingia na mawazo mawili mawili Zamda

This guy must forget japo sio rahisi ila inawezekana
 
Back
Top Bottom