Ushauri: Nashindwa kumsahau kabisa mpenzi wangu wa zamani

Ili umsahau lazima 'umuue' huyo ex wako moyoni mwako.
Kubaliana na hali hiyo,tafuta mwingine (ila usiwe na haraka maana unaweza kusukumwa na hisia/kisasi ukamkubalia 'anayekutongoza' halafu baadaye ukajua kuwa hukumpenda ile ulimfanya kiliwazo)
Kama unamwamini Mungu, mshirikishe akupe wako.
Someone is waiting for you out there.
Duuuuh
 
kajamaa kanaitwa alamba fyuuuu popoma wewe kijana tangulini mwanamke akafanya mengi mema kiasi unashindwa kumsahau acha utoto :(
 
03afcf659b8d2f95ad9e62bce8c71a65.jpg
 
Kama anakusalimia simuni na txt ina maana bado na imani na wewe na hilo suala la kukuambia anataka kuwa alone lisikutishe maana wadada wengi wanakuwaga na vipimo/mitihani yao kukucheck kama uko fit,sasa we tulia kama huna time nae atakuja mwenyewe utafanya yako na kumiliki mazima..
 
Jamani naomba ushauri nifanyaje ili niweze msahau ex wangu maana imekuwa ngumu sana kumsahau.
Ni kawaida extra wako ni ngumu kumsahau kama muliishiana vyema.ata mm kuna demu wangu simsahau kwa jinsi alivyokuwa akinipa penzi kamili na tamu sana.
 
Uuuuuuuwwiiii uuuuwwiii uuuuwwiii uuuuwwiii Uuuuuuuwwiiii
 
Back
Top Bottom