COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,596
- 3,639
Chuki ya kisiasa kati ya wafuasi wa CCM na washirika wao vs wafuasi wa vyama vya upinzani inaongezeka siku hadi siku.
Ukipitia mitandao ya kijamii ( japo CCM wanaibeza) utaona maoni ya hasira na chuki anayojibiwa kiongozi wa CCM (mfano, Mwigulu, Kangi Lugola, DC Kigamboni, Possi, n.k n.k).
Upendo umetoweka Tanzania yetu hii.
Vijana wa CCM nao hawapo nyuma hapo katika wachangiaji 1000, utaona wanaounga mkono kauli za viongozi wa CCM wapo 20 ( 980 wote wanaponda kauli za viongozi wa CCM).
Mimi nimeona sasa yatosha; hii chuki usiachwe iendelee kutawanyika.
1. Viongozi wa serikali ya CCM waache kutoa matamko yanayoamsha hasira za watu ( waongee ukweli wasipotoshe)
2. Viongozi wa Vyama vya Upinzani nao wafanye hivyo hivyo kama wa CCM wasitoe kauli zinazoamsha hasira.
3. CCM itoe fair political playground kwa vyama vyote.
4. Viongozi wa dini wasiegemee upande wowote wa kisiasa.
5. Tutofautishe kati ya matusi na kukosolewa.
Asanteni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipitia mitandao ya kijamii ( japo CCM wanaibeza) utaona maoni ya hasira na chuki anayojibiwa kiongozi wa CCM (mfano, Mwigulu, Kangi Lugola, DC Kigamboni, Possi, n.k n.k).
Upendo umetoweka Tanzania yetu hii.
Vijana wa CCM nao hawapo nyuma hapo katika wachangiaji 1000, utaona wanaounga mkono kauli za viongozi wa CCM wapo 20 ( 980 wote wanaponda kauli za viongozi wa CCM).
Mimi nimeona sasa yatosha; hii chuki usiachwe iendelee kutawanyika.
1. Viongozi wa serikali ya CCM waache kutoa matamko yanayoamsha hasira za watu ( waongee ukweli wasipotoshe)
2. Viongozi wa Vyama vya Upinzani nao wafanye hivyo hivyo kama wa CCM wasitoe kauli zinazoamsha hasira.
3. CCM itoe fair political playground kwa vyama vyote.
4. Viongozi wa dini wasiegemee upande wowote wa kisiasa.
5. Tutofautishe kati ya matusi na kukosolewa.
Asanteni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app