Mbulukenge
Senior Member
- Jun 26, 2019
- 131
- 305
Achana na kamari haijawahi kutoa matajiri ni bahati na nasibu, ndo maana mjini matajiri wote ni wafanya biashara zinazo onekana machoni kwa watu
Unamjua huyu mwamba?
Kawa usd billionaire kwa kamali.
Soma kitabu chake cha The set up.