Ushauri namna ya kupata chuo cha kufanya phd ulaya 2013

Criterion

JF-Expert Member
Jan 8, 2008
11,798
11,881
Nashukuru kwa ushauri toka kwa Frank Gerald. Kwa Frank Mungu akubariki na uzidi kuwa na moyo huo. Ahsante sana.
 
Perry, sijui PHD wewe unaielewaje. Kikubwa umeelewa. Unaweza kusahihisha, unaweza kushauri, unaweza kukashifu, unaweza kunyamaza ama kufanya chochote unachotaka. Ninachojua watu hatufanani. Unachofikiri wewe usidhani watu wote wanafikiri kama wewe. Na wala hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuamini kwamba yeye ndiye anajua kila kitu na yuko sahihi nyakati zote.

Ahsante Perry.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom