Wakati mwingine huwa mnatusingizia maana kama hakuna wanafunzi basi hakuna walimu. Na mauongo ya wanafunzi usisahau wanafanya lecturers waonekane ni wabaya mbele ya jamii wakati wao ni vilaza na wanalazimisha uwape maksi za dezo ambapo ni kuua elimuKwa nature ya vyuo vyetu namwamini kabisa ana ogopa kutaja wasije mu disco