jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,091
- 8,547
hapa iko 60% toka saa 11 asubuhi no kuzima data net mda oteA21 ni kiboko aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapa iko 60% toka saa 11 asubuhi no kuzima data net mda oteA21 ni kiboko aisee
hakuna kinachoshindikana kwenye iphone,ila si rahisi kama wenye android.
kuna snapdrop pia.
kushare mafile ios kwa android.Snapdrop ina kazi gani?
zipo kkoo ila hakikisha una msimamo,sababu wauzaji ukimuuliza kitu amabcho hana,na hela inampita anakuonyesha simu nyingine na kuanza kukupanga.
Mbona kama ina Masharti hivo😒! Acha niendelee kutumia haka katecno tu niko free nadowload hadi singelisiwezi kwambia ubaki na a21 kama una bajeti ya iphone 11,kanunue tu.ni simu nzuri wala hutajuta.
ila zijue iphone kwanza,isije kukukera kwa mambo ambayo hujayazoea.
1,hii haina maajabu sana kwenye charge ingawa sio betry mbaya.
2,hutarusha wala kupokea nyimbo/video kiswahili tu kwa vijana na washkaji mtaani.
3,sisitiza kupata ya line mbili,ili upunguze zaidi ili upunguze usumbufu zaidi.
4,hakuna ujanja ujanja wa kudownload movies kwenye sites mbali mbali,labda kwa link telegram.
kama haya sio ya msingi kwako,basi utafurahia simu hiyo.
hii utapunguza mawazo ya betry,camera sio mbaya sana na ni simu yenye nguvu nzuri tu.A71 ipoje⁷
yah ina ubora kiasi inaridhisha.So camera yake ina quality flan hvii
Hivi tecno ni simu au calculator?Chukua camon16 hapa nakuuzia kwa 280k
Calculator mkuu.Hivi tecno ni simu au calculator?
Kustack stack kama Kote hiyo hapana kuliko kumiliki tecno na infinix sijui itel ni bora niwe na nokia kitochiCalculator mkuu.
Hio hapo ina kasi ya 4G.
Chaji siku 5.
Hakika hii calculator ni nzuri sana.
View attachment 1791485
Niwekee specifications za sim yako mkuu maybe I can join you one dayOngera sana ila tecno hapana.
Natumia Samsung A32 (2021)Niwekee specifications za sim yako mkuu maybe I can join you one day
Welcome to netflix
View attachment 1791503
Niwekee specifications za sim yako mkuu maybe I can join you one day
Welcome to netflix
View attachment 1791503
Alafu acha kukalili hii Netflix mbona kwenye smart yoyote inakaa.... Ndio maana kweye calculator(tecno) yako imekaa fresh kwahiyo hiyo sio big deal mkuuNiwekee specifications za sim yako mkuu maybe I can join you one day
Welcome to netflix
View attachment 1791503
Umenisaidia kumuelewesha....Hii sio Netflix mzee, Netflix haiko hivyo hii ni some random app
Point #2 sio kweli. Kwanini ushindwe kurusha au kupokea nyimbo?siwezi kwambia ubaki na a21 kama una bajeti ya iphone 11,kanunue tu.ni simu nzuri wala hutajuta.
ila zijue iphone kwanza,isije kukukera kwa mambo ambayo hujayazoea.
1,hii haina maajabu sana kwenye charge ingawa sio betry mbaya.
2,hutarusha wala kupokea nyimbo/video kiswahili tu kwa vijana na washkaji mtaani.
3,sisitiza kupata ya line mbili,ili upunguze zaidi ili upunguze usumbufu zaidi.
4,hakuna ujanja ujanja wa kudownload movies kwenye sites mbali mbali,labda kwa link telegram.
kama haya sio ya msingi kwako,basi utafurahia simu hiyo.
2,utashindwa sababu umezoea kuingiza kwa jamaa wa kuburn cd,ambabo wengi hawajishughulishi na Itune.Point #2 sio kweli. Kwanini ushindwe kurusha au kupokea nyimbo?
Point #3: Ukishaanza kutafuta Iphone yenye line mbili, jua kabisa ushaingia chaka