MWALIM WA KIJIJINI
Member
- Aug 22, 2013
- 66
- 66
Ndugu zangu habari zenu,
Nimechoka kubanana kwenye daladala nataka japo na mimi ninunue kagari cha kunizunguusha mjini ila nipo njiapanda kati ya Honda fit,Toyot ist na Audi A4 ipi inaweza kunifaa hasa kwenye swala la upatikanaji wa spea matumizi ya mafuta na ubora kwa ujumla.
Nimechoka kubanana kwenye daladala nataka japo na mimi ninunue kagari cha kunizunguusha mjini ila nipo njiapanda kati ya Honda fit,Toyot ist na Audi A4 ipi inaweza kunifaa hasa kwenye swala la upatikanaji wa spea matumizi ya mafuta na ubora kwa ujumla.