Mambundamu
Member
- Jan 4, 2019
- 66
- 63
Wanabodi habari
Iko hivi kipindi ninamuoa huyu wife nilikuwa na date na mtoto mmoja wa kihaya mashaallah. Sasa alipata ujauzito nilipofunga ndoa na wife alianza kunisumbua sana na mimba ilikuwa na miezi 6.
Baadae akaanza kumsumbua wife lakini wife aliponiuliza nilikana nikalamba moto kuwa simfahamu kabisa huyo binti. Ndoa ikasonga mbele alikuja akajifungua mtoto wa kike nikaambiwa na dada yake.
Mzee nikaanza kutunza kisirisiri nilikuja kuwapa taarifa nyumbani kwa wazazi wangu wakaelewa wakaniambia nimwambie wife nikakataa.
Sasa sasa hivi wife na yeye alishajifungua dume la mbegu hivyo nina watoto wawili. Yule kule kwa Mhaya amefikia umri wa kuanza chekechea nimemuanzisha na huwa ninawasiliana na mama yake.
Huyu mtoto sasa ana miaka 3 wife hajui hivyo kwa kuwa ninaanza kusomesha nafikiria kumweleza ukweli wife kuwa nina mtoto nje lakini nafikiria namna ya kumweleza maana anaweza nuna mwezi nikanyimwa na papuchi.
Nishaurini mliowahi kukutana na kitu kama hii ni namna ipi bora ya kumweleza maana siwezi kana mwanangu hata siku moja na uwezo wa kumlea ninao.
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko hivi kipindi ninamuoa huyu wife nilikuwa na date na mtoto mmoja wa kihaya mashaallah. Sasa alipata ujauzito nilipofunga ndoa na wife alianza kunisumbua sana na mimba ilikuwa na miezi 6.
Baadae akaanza kumsumbua wife lakini wife aliponiuliza nilikana nikalamba moto kuwa simfahamu kabisa huyo binti. Ndoa ikasonga mbele alikuja akajifungua mtoto wa kike nikaambiwa na dada yake.
Mzee nikaanza kutunza kisirisiri nilikuja kuwapa taarifa nyumbani kwa wazazi wangu wakaelewa wakaniambia nimwambie wife nikakataa.
Sasa sasa hivi wife na yeye alishajifungua dume la mbegu hivyo nina watoto wawili. Yule kule kwa Mhaya amefikia umri wa kuanza chekechea nimemuanzisha na huwa ninawasiliana na mama yake.
Huyu mtoto sasa ana miaka 3 wife hajui hivyo kwa kuwa ninaanza kusomesha nafikiria kumweleza ukweli wife kuwa nina mtoto nje lakini nafikiria namna ya kumweleza maana anaweza nuna mwezi nikanyimwa na papuchi.
Nishaurini mliowahi kukutana na kitu kama hii ni namna ipi bora ya kumweleza maana siwezi kana mwanangu hata siku moja na uwezo wa kumlea ninao.
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app