Huu ni ushauri tu kwa CCM, mimi ni mshauri huru, ni mtafiti huru, na msemaji huru.
Kwa hali ya mwamko mpya wa upinzani unakoelekea, mnahitaji watu wenye uwezo wa kujibu hoja na kushambulia. Nimejaribu kuwaza na kuchekecha vichwa vilivyopo upande wa CCM nawaona watu wawili nao ni Nape na Makonda.
Lakini katika uwezo wa facts Makonda ni best. Pia, ana uwezo mkubwa wa kuongea majukwani na mwenye ushawishi na ubunifu mkubwa. Hivyo kama CCM mnaweza kupokea ushauri fanyieni kazi ushauri huu msichelewe.
Kwa kushauri hivi sina maana Polepole hafai la hasha, ni kwamba Polepole amemudu vizuri katika upinzani bubu wa miaka mitano. Sasa upinzani umefanya usajili mpya wa Membe na Lissu. Usajili wa Lissu ni hatari sana kwa kipindi hiki.
Mkimteua Paul
Makonda kwenye hii nafasi mtaona mabadiliko makubwa katika idara hii
Wajumbe oyee
Kwa hali ya mwamko mpya wa upinzani unakoelekea, mnahitaji watu wenye uwezo wa kujibu hoja na kushambulia. Nimejaribu kuwaza na kuchekecha vichwa vilivyopo upande wa CCM nawaona watu wawili nao ni Nape na Makonda.
Lakini katika uwezo wa facts Makonda ni best. Pia, ana uwezo mkubwa wa kuongea majukwani na mwenye ushawishi na ubunifu mkubwa. Hivyo kama CCM mnaweza kupokea ushauri fanyieni kazi ushauri huu msichelewe.
Kwa kushauri hivi sina maana Polepole hafai la hasha, ni kwamba Polepole amemudu vizuri katika upinzani bubu wa miaka mitano. Sasa upinzani umefanya usajili mpya wa Membe na Lissu. Usajili wa Lissu ni hatari sana kwa kipindi hiki.
Mkimteua Paul
Makonda kwenye hii nafasi mtaona mabadiliko makubwa katika idara hii
Wajumbe oyee