OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,125
- 24,060
Mtoto wangu ana miezi miwili tu anasumbuliwa na kifua na Mafia, je nimpe asali yenye mchanganyiko wa kitunguu saumu?
Mtoto wangu ana miezi miwili tu anasumbuliwa na kifua na Mafia, je nimpe asali yenye mchanganyiko wa kitunguu saumu?
Aisee vp.... mtoto wako kifua hicho alipona?Mpeleke kwa Daktari bingwa wa watoto Mkuu. Pengine anaweza kuwa na TB. Usipoteze muda.