Kivumah
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,428
- 1,050
Jaribu hii dawa; Mchanganyiko wa Asali ya nyuki wadogo, kiini cha yai bichi la kienyeji, magadi ya asili (yapo sokoni), binzari, limao, na kitunguu saumu punje mbilimbili ziponde ponde. Changanya kwa kipimo chochote then mpe mtoto kijiko kidogo cha chai kila siku asubuhi, mchana na jioni kwa siku saba. Pia akilala usimfunike na Blanketi, mfunike na Duveti. Pia asile vitu vyenye asili ya utamu kama lollipop, pipi na banzoka.