Wapi nitapata kiwanja cha milioni 3 kwa Dar?

toplemon

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
4,583
4,615
Wakuu habarini za muda huu,

Kwa Dar es Saalam ni wapi naweza kupata kiwanja cha milioni 3? Namaanisha kiwanja cha milioni moja, mbili hadi tatu mwisho, iwe tatu maana ndiyo uwezo wangu. Kwa Dar napendelea maeneo yote isipokua tu maeneo ya kilwa Road.

Kwa milioni 2 au 3 au chini yake ni wapi naweza pata kiwanja? Umbali kutoka barabara kuu iwe kutembea hata kwa mguu isizidi dakika 20 au dakika 25.

Pia naomba kujua kwa milioni 3 si naweza kupata walau kiwanja kikubwa cha size ya kati au vya milioni 2, 2.5 au 3 mara nyingi huwa ni ukubwa gani kwa wajuzi wa humu?

Pia naombeni kujua ni taratibu gani za kufuata ili kumiliki kiwanja, maana ndugu yenu nikiri kuwa mimi sijui taratibu zozote za kumiliki kiwanja. Naogopa kupigwa sana, kutapeliwa, pia naogopa kununua kiwanja chenye mgogoro. Je, nifate taratibu gani?

Natanguliza shukrani.
 
Wakuu habarini za muda huu

Kwa Dar es Sallam ni wapi naweza kupata kiwanja cha milioni 3?

Namaanisha kiwanja cha milioni moja,mbili hadi tatu mwisho iwe tatu maana ndo uwezo wangu

Kwa Dar napendelea maeneo yote isipokua tu maeneo ya kilwa Road

Kwa 3M au 2M au chini yake ni wapi naweza pata kiwanja?Umbali kutoka barabara kuu iwe kutembea hata kwa mguu isizidi dakika 20 au dakika 25

Pia naomba kujuwa kwa milioni 3 si naweza kupata walau kiwanja kikubwa cha size ya kati?Au vya 2M 2.5M au 3M mara nyingi huwa ni ukubwa gani kwa wajuzi wa humu?


Pia naombeni kujua ni taratibu gani za kufuata ili kumiliki kiwanja maana ndugu yenu nikiri kuwa mimi sijui procedure zozote za kumiliki kiwanja naogopa kupigwa sana, kutapeliwa pia naogopa kununua kiwanja chenye mgogoro jee nifate taratibu gani?

Natanguliza shukrani
Dar hadi kuna viwanja vya laki moja zaidi ya 360sq meters wewe unataka cha milioni tatu

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom