Love Doctor
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 726
- 786
Njoo tuchangie tuwe wawiliWakuu habar za midaa hii ya iftar inakaribia,
Nipo hapa nimekuja kuchek maendeleo ya duka langu duka toka 14.12.2015 lkn holaaa wadau linakula tu pesa zangu za kazin nimefukuza vijana wengi tu nikijua naibiwa tu na ni nimejaribu kuhama mara nyingi for location lakini napata gud location tu Dar kinondon
Nikawa napiga stor mbili tatu na mwenyeji hapa namweleza mzee mtaa huu mgumu watu weng lkn sion pesa mzee akacheka tu na kunieleza yafuatayo ndugu hapa kweli ni pagum lkn ni rahisi kivingine si unamwona shirima pale anajaza jiran yangu nae anaduka km langu anauza sn na wateja wanapanga foleni.
Nikasema mzee jamaa hapa nimemkuta lkn wateja wamepazoea mzee kabisha hamna ww siunaona na mwenzako pale anadonoa wateja jiran mwngne nae hola tu km mimi.
Usione watu wana maduka kuna siri nzito agiza bidhaa zako nje ya hapa maduka mengi ya jumla hapa pesa wanachukua mzigo unaisha pesa huoni au kama uko tayar kuna mtu yupo kigoma nikuunganishe nae? Mpaka mwakani utakuwa na maduka kama haya zaid ya manne kanipa na mfano wa mtu
Sasa mimi kama msomi na mshahara napata ila napenda maendeleo ya biashara pia nimeona niwafikishie ujumbe ndugu zangu mnishaur maana naona napoteza pesa zangu kuziweka dukan kila mwezi.
Nawasilisha