Biashara ya Duka la Rejareja: Ushauri, Mchanganuo, Changamoto na Namna ya Kutunza Kumbukumbu

Kama ni duka la vyakula. Bado mtaji wako mdgo ndgu ila unaweza ukaanza na duka la rejareja kwanza wakati unajipanga, wazo lako zuri sana. Keep it up
 
Kwanza nakupongeza sana kwa wazo lako. Ushauri wangu kwa pesa uliyo nayo lima kilimo cha uyoga. Nenda kwa wataalam wa kilimo wakufunze ukulima huu wa Uyoga kwakua umsomi mafunzo hayatazidi wiki na gharama yake ni nafuu mno sh.20,000' utakua umejifunza ukulima na jinsi ya kudhibiti magonjwa ya Uyoga na wadudu waharibifu wa Uyoga.

Then gharama ya mbegu shilingi elfu 5,vyumba viwili cha giza na cha mwanga utalima humo na kuuza mahotelini na kwa Catering kwa bei nzuri utashangaa unaingiza pesa kiulaini tena ukiwa kivulini. Ni hayo tu.
Good one, also this can be considered
 
Shortly ..there is a lot of bizness u can perform with that kind of capital....ts matter of research and good evaluation
 
Hongera sana Mkuu karibu ktk ulimwengu wa fikira tofauti kwa wajasiriamali! vizuri ukifanya mwenyewe research kwa wafanya biashara na wenye maduka mbali mbali! ama kama upo tait nipe tenda hiyo Kampuni yangu inadeal na masoko inaweza kukufanyia kwa bei nafuu kabisa! my kampani ni Tangaza Marketing Solutions(TMs)
karibu sana.
Hiyo kampuni iko wapi?
 
Nitakupa ABC kwa biashara unayoiwaza sema waweza kuchanganua na kuamua kuongeza mtaji kwa njia nyingine.

MAHITAJI

1. Cheti cha Vipimo toka kwa Daktari anayetambulika na Serikali
2. TFDA certificate cost ~70,000/-
3. Tin number toka TRA na Clearance certificate pia kadirio la kodi si chini ya (360,000+ kwa miezi mi3)
4. Kodi ya nyumba si chini ya 50,000/- kwa mwezi

Kumbuka kuna ununuzi wa Mizani, friji (optional) na kupiga Mbao za kuoneshea bidhaa kama frame haina hivyo vitu.
 
C'mon man anaweza kuwa na bei nzuri,mfano kuna kampuni moja pale kenya wanakufanyia market research kwahizi biashara ndogondogo kwa gharama haifiki hata elfukumi ya Kibongo. Wanakupa full infor kuhusu biashara husika, mfano capital ya kuanza nayo, process ya kuanzisha, location inayofaa, rent ya flame, maunjanja katika biashara husika etc.
Uko wapi mkuu, nataka wanifanyie market research kwa biashara ya duka LA vifaa vya ujenzi.
 
Biashara Ya Duka Kwa Mtaji Wa Mil 1
Inategemea Na Location Uliyopo
Kuna Location Unaweza Kuwepo Ikawa Ni Mtaji Sahihi Na Kuna Location Ikawa Ni Pungufu

Sema Pia Si Lazima Uanze Na Duka La Frame

Unaweza Kuanza Na Supply. Unaweza Fanya Supply Ya Mchele, Mahindi Au Nafaka Au Bidhaa Nyingine Yoyote Kulingana Na Location Uliyopo.

Nothing Is Impossible.
 
Habari zenu Wana Jamii Forum,

Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa tatu,katika harakati za kujiandaa na kupambana na maisha pindi nitakapohitimu elimu yangu na kurudi mtaani,nimetafuta pesa ikiwa kama mtaji wa biashara milioni moja (1,000,000)hasa ya duka la bidhaa za vyakula.

Tatizo ni kwamba si mzoefu ktk biashara na ni mara ya kwanza kutaka kuifanya hii biashara kwan matarajio yangu ni kujiajiri mwenyewe.

Naomba ushauri kwa yeyote mwenye uelewa kuhusu hili kunipa mchanganuo wa bidhaa muhimu zinazotakiwa kuwepo dukani kama vile unga kiasi gani,mchele n.k kulingana na mtaji huo wa Milioni Moja.

Natanguliza Shukrani zangu.
Hongera saana kwa kuwa na nia ya kuanza biashara, kikubwa tambua soko lako, wanahitaji nini, wapi, wakati gani, kiasi gani na kwa njia zipi.
 
Habari wanajamii wenzangu.

Ni mara ya kwanza naposti humu ila huwa nafaidika sana na mawazo yatolewayo hapa.Kifupi nakata kufungua duka mojawapo liwe la vinywaji laini namaanisha wines/ama liwe la nguo na vifaa vya watoto wadogo kama pampers ; wipes ; maziwa n.k

Naomba changamoto na faida za biashara hizi mwenye uzoefu katika hilo.

Nawasilisha.
 
Wakuu habar za midaa hii ya iftar inakaribia,

Nipo hapa nimekuja kuchek maendeleo ya duka langu duka toka 14.12.2015 lkn holaaa wadau linakula tu pesa zangu za kazin nimefukuza vijana wengi tu nikijua naibiwa tu na ni nimejaribu kuhama mara nyingi for location lakini napata gud location tu Dar kinondon

Nikawa napiga stor mbili tatu na mwenyeji hapa namweleza mzee mtaa huu mgumu watu weng lkn sion pesa mzee akacheka tu na kunieleza yafuatayo ndugu hapa kweli ni pagum lkn ni rahisi kivingine si unamwona shirima pale anajaza jiran yangu nae anaduka km langu anauza sn na wateja wanapanga foleni.

Nikasema mzee jamaa hapa nimemkuta lkn wateja wamepazoea mzee kabisha hamna ww siunaona na mwenzako pale anadonoa wateja jiran mwngne nae hola tu km mimi.

Usione watu wana maduka kuna siri nzito agiza bidhaa zako nje ya hapa maduka mengi ya jumla hapa pesa wanachukua mzigo unaisha pesa huoni au kama uko tayar kuna mtu yupo kigoma nikuunganishe nae? Mpaka mwakani utakuwa na maduka kama haya zaid ya manne kanipa na mfano wa mtu

Sasa mimi kama msomi na mshahara napata ila napenda maendeleo ya biashara pia nimeona niwafikishie ujumbe ndugu zangu mnishaur maana naona napoteza pesa zangu kuziweka dukan kila mwezi.

Nawasilisha
 
Usomi kwenye jamii yetu ya kiswahili waga tunauacha chuo linapokuja swala la maendeleo, uzuri ni kwamba wewe mwenyewe ni Shahidi kuwa kwako ndio biashara ngumu ila kwa mwezio biashara nzuri so uamuzi ni wako either uvue koti la usomi na kuvaa gwanda la kazi, kwa sasa business pote ni ngumu ila ugumu unatofautiana kutokana na mwenye hiyo biashara ni nani
 
Back
Top Bottom