mfumuko
Member
- Jul 2, 2015
- 13
- 13
Asante sana feity na wadau wengine mliochangia na mtakaoendelea kuchangia. Naamini kweli inaweza ikawa sijawaza vyema sana na ndio maana tunashirikishana wadau kupata mawazo pevu na mbadala, najua huku wako wadau wengi wenye ujuzi, ufahamu, uelewa na moyo wa kusaidia na kushauri. asanteni.