Ushauri na maoni kuhusu biashara ya kuuza mayai ya kuku wa kisasa

Nina wazo la kufanya hii kitu mbeya

sijui ita lipa kweli nataka nifungue boonge la shop ya mayai tu

Yaani hata tray nyingi sana ila bado nafanya upembuzi ya kinifu

maana sijui akina mwaisa kama wanakulaga mayai wale jamaa

Nikifanikiwa kujua wana tafuna hakika nitafungua shop hiloo... na weka na vijana wa kunisaidia kusambaza na boda
Nikupe idea ingine papo hapo - kama Kuna Boda Boda kijiwe around hapo fanya hivi ku-ongeza idadi ya wateja: Waambie wakikuletea idadi Mteja akanunua tray mfano 10 ana buku lake... (Kila tray faida jero - ukitoa buku kumbuka kuwa yule Mteja next time atakua ameshapafahamu dukani tayari una Mteja... Nk nk
 
Nikupe idea ingine papo hapo - kama Kuna Boda Boda kijiwe around hapo fanya hivi ku-ongeza idadi ya wateja: Waambie wakikuletea idadi Mteja akanunua tray mfano 10 ana buku lake... (Kila tray faida jero - ukitoa buku kumbuka kuwa yule Mteja next time atakua ameshapafahamu dukani tayari una Mteja... Nk nk
Yees good idea
 
Nikupe idea ingine papo hapo - kama Kuna Boda Boda kijiwe around hapo fanya hivi ku-ongeza idadi ya wateja: Waambie wakikuletea idadi Mteja akanunua tray mfano 10 ana buku lake... (Kila tray faida jero - ukitoa buku kumbuka kuwa yule Mteja next time atakua ameshapafahamu dukani tayari una Mteja... Nk nk

Mwamba una madini
 
Wakuu, nafikiria kuanza kufanya biashara ya kununua mayai kwa wafugaji na kuuza ama kwa kusambaza ama kufungua kakibanda, ila sina uzoefu mkubwa na hiyo biashara.

Sasa naombeni mnipe ABC's zake kama, changamoto, vitu vya kuzingatia, kiasi cha chini kabisa cha mtaji, nk.

Location itakuwa dar

Natanguliza shukrani.

Ni biashara nzuri mayai yanatembea sana lakini upate moja kwa moja toka kwa wafugaji na upate centre yenye mzunguko yasikae sana yataharibika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom