badiebey
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 5,875
- 3,096
Hi pipooo wa JF,kwema?
Mwanamke kupata discharge nyepesi ya rangi ya brown kutoka kwenye K inamaanisha nini au ni dalili ya nin,haina harufu,haiwashi,inatokea kila mwezi walau kw wiki moja unusu hivi kabla ya period,siumwi popote wala sipati discomfort yoyote zaid ya kuvaa pantliner all the time ,wadau mnaojua mnaweza kunijuza hii ni nin
Mwanamke kupata discharge nyepesi ya rangi ya brown kutoka kwenye K inamaanisha nini au ni dalili ya nin,haina harufu,haiwashi,inatokea kila mwezi walau kw wiki moja unusu hivi kabla ya period,siumwi popote wala sipati discomfort yoyote zaid ya kuvaa pantliner all the time ,wadau mnaojua mnaweza kunijuza hii ni nin