Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Utaibiwa wewe mjini hapa.
Nani kakudanganya kuwa huyo mmiliki wa hiyo account ni mwanamke???
Nani kakudanganya kuwa huyo mmiliki wa hiyo account ni mwanamke???
Ndio umekuja kujitangaza huku? Tutolee ujingwa wako humu jf,Jamani, wakati tukisheherekea muungano wetu nimeona fb nikakutana na huyu mwanamke (nimeweka picha 6). Yaani nilistuka sana. Inakuwaje ewe mwanaume unamruhusu amiliki simu,tena smart phone mpaka anaingia fb hivi jamani?
Umemchoka? Au unawaonesha wanaume kwamba we una chombo?
Yaani ukiingia inbox, anakuja fasta. Kwann usimshauri akaachana na matumizi ya simu hizi za kisasa?
Chunga mzigo wako.
View attachment 501495View attachment 501496View attachment 501497View attachment 501499View attachment 501500View attachment 501501
Mkuu hivi vitoto vikishanunuliwa simu na shemeji zao basi hukimbilia huku na kuleta mambo ya kipuuzi huku.Mbn wa kawaida sana acha kusifia upumbavu au ndo unabalehe nn au ndo umenunua smartphone inakupa mawenge huko Fb sifia vitu vyenye tija peleka huo upuuzi huko instagram.
hata dental fomyula ina shidaAnatumia jina gani FB? Alafu anaonekana anatatizo la miguu
Jamani, wakati tukisheherekea muungano wetu nimeona fb nikakutana na huyu mwanamke (nimeweka picha 6). Yaani nilistuka sana. Inakuwaje ewe mwanaume unamruhusu amiliki simu,tena smart phone mpaka anaingia fb hivi jamani?
Umemchoka? Au unawaonesha wanaume kwamba we una chombo?
Yaani ukiingia inbox, anakuja fasta. Kwann usimshauri akaachana na matumizi ya simu hizi za kisasa?
Chunga mzigo wako.
View attachment 501495View attachment 501496View attachment 501497View attachment 501499View attachment 501500View attachment 501501
Jamani, wakati tukisheherekea muungano wetu nimeona fb nikakutana na huyu mwanamke (nimeweka picha 6). Yaani nilistuka sana. Inakuwaje ewe mwanaume unamruhusu amiliki simu,tena smart phone mpaka anaingia fb hivi jamani?
Umemchoka? Au unawaonesha wanaume kwamba we una chombo?
Yaani ukiingia inbox, anakuja fasta. Kwann usimshauri akaachana na matumizi ya simu hizi za kisasa?
Chunga mzigo wako.
View attachment 501495View attachment 501496View attachment 501497View attachment 501499View attachment 501500View attachment 501501
Jamani, wakati tukisheherekea muungano wetu nimeona fb nikakutana na huyu mwanamke (nimeweka picha 6). Yaani nilistuka sana. Inakuwaje ewe mwanaume unamruhusu amiliki simu,tena smart phone mpaka anaingia fb hivi jamani?
Umemchoka? Au unawaonesha wanaume kwamba we una chombo?
Yaani ukiingia inbox, anakuja fasta. Kwann usimshauri akaachana na matumizi ya simu hizi za kisasa?
Chunga mzigo wako.
View attachment 501495View attachment 501496View attachment 501497View attachment 501499View attachment 501500View attachment 501501
Hawajielewi ila wakikua wataachaMkuu hivi vitoto vikishanunuliwa simu na shemeji zao basi hukumbilia huku na kuleta mambo ya kipuuzi huku.
Hahahahahahahahahahahahahaha siku yangu imeanza mushara kabisa mkuu hahahahahahahahaha, muache amezwe tu.Mbuzi anakaribia kumezwa na chatu.