...huyo jamaa hakufai achana nae,..tafuta kubwaWazima ?
Ninashida jamani, nina mwanaume anataka kunioa lakini maumbile yake ya kiume ni madogo sana. Kwangu mimi haina tatizo kwasababu nimempenda kutoka moyoni.
Ila sasa nimekuwa nikiwaza kuwa endapo nitazaa nae watoto wa kiume lazima mambo ya "genetics" yatakuepo hivyo nina hatari ya kupata watoto wa kiume wenye maumbile madogo.
Napata mawazo sana nikifikiria hili sitaki hiyo kitu kwa watoto wangu, nifanyeje?
..JF hatumwi mtu sokoni..anapewa makavu live. Teh
Yani mwenzio katangaza ndoa tu wewe ushaanza kukimbilia huku kutuelezea maumbile yake! Na ya kwako je yakoje kwani? Ama kweli KOSEA KUJENGA NA SIO KUOAWazima ?
Ninashida jamani, nina mwanaume anataka kunioa lakini maumbile yake ya kiume ni madogo sana. Kwangu mimi haina tatizo kwasababu nimempenda kutoka moyoni.
Ila sasa nimekuwa nikiwaza kuwa endapo nitazaa nae watoto wa kiume lazima mambo ya "genetics" yatakuepo hivyo nina hatari ya kupata watoto wa kiume wenye maumbile madogo.
Napata mawazo sana nikifikiria hili sitaki hiyo kitu kwa watoto wangu, nifanyeje?
..wanatoa mimba mno..Labda maumbile yako ndiyo makibwa kumfanya jamaa aonekane ana kibamia.maana kuna wanawake wana K kubwa mpaka umashangaa wanazitoaga wapi.uchina?
Kwani umbile dogo ni tatizo au?au hafanyi kazi?Wazima ?
Ninashida jamani, nina mwanaume anataka kunioa lakini maumbile yake ya kiume ni madogo sana. Kwangu mimi haina tatizo kwasababu nimempenda kutoka moyoni.
Ila sasa nimekuwa nikiwaza kuwa endapo nitazaa nae watoto wa kiume lazima mambo ya "genetics" yatakuepo hivyo nina hatari ya kupata watoto wa kiume wenye maumbile madogo.
Napata mawazo sana nikifikiria hili sitaki hiyo kitu kwa watoto wangu, nifanyeje?
Kuhusu kumpenda huyu jamaa hofu ondoa,,ila genetcs inaninyima rahaaa
..au huyo dada atakuwa na stress za kuolewa,..I bet huyu mdada hajampenda jamaa!! Kuna kitu kimemvutia; hasa pesa!
Kuna hatari ya kuolewa lkn akawa anatoka nje kutafuta machine kubwa.
..oa itakusaidia kuzalisha umeme..Kwwhiyo tukikutana na wenye bwawa tusioeee. Kuepusha kupata watoto wenye mtera dam. Dah...