Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 8,917
- 23,236
wakuu habari za wakati huu?
Mke wangu ana ujauzito wa wiki ya 38 na siku 2. Anatakiwa kusafiri kati ya Dar na Morogoro. Sababu ya kusafiri ni madai ya kua sitaweza kumtunza atakapo jifungua, ni kama wanalazimisha wakakae nae wao.
Kweli sijawai kuwa na mtoto hapo kabla lakini nimejifunza angalao yale ya msingi, na hata majirani wapo ingawa siwategemei. Pamoja na changamoto pesa,umbali wa wa hospiali lakini ningependa kumpokea mtoto wetu katika hayo yote, lakini ndugu wamenitisha hadi nakosa kujiamini.
Naomba ushauri kwenu wakuu kama jambo kama hili linawezekana au ni komae tuu.
nawatakieni kila la heri.
Mke wangu ana ujauzito wa wiki ya 38 na siku 2. Anatakiwa kusafiri kati ya Dar na Morogoro. Sababu ya kusafiri ni madai ya kua sitaweza kumtunza atakapo jifungua, ni kama wanalazimisha wakakae nae wao.
Kweli sijawai kuwa na mtoto hapo kabla lakini nimejifunza angalao yale ya msingi, na hata majirani wapo ingawa siwategemei. Pamoja na changamoto pesa,umbali wa wa hospiali lakini ningependa kumpokea mtoto wetu katika hayo yote, lakini ndugu wamenitisha hadi nakosa kujiamini.
Naomba ushauri kwenu wakuu kama jambo kama hili linawezekana au ni komae tuu.
nawatakieni kila la heri.