wana jf habari
mpenz wangu alitoa mimba kwa kutumia vidonge(misoprostol).
Sasa hivi anatokwa na damu none stop takriban one consecutive month.
Naomba kwa yeyote anayefahamu madhara ya muda mfupi/mrefu ya vidonge hivi anijuze ili niweze pia kufaham.
NB: nilimkataza sana asitoe hiyo mimba hadi ilifikia tukashirikisha ndugu,jamaa na marafiki lkn alifanya kwa kificho.
Nawasilisha
mpenz wangu alitoa mimba kwa kutumia vidonge(misoprostol).
Sasa hivi anatokwa na damu none stop takriban one consecutive month.
Naomba kwa yeyote anayefahamu madhara ya muda mfupi/mrefu ya vidonge hivi anijuze ili niweze pia kufaham.
NB: nilimkataza sana asitoe hiyo mimba hadi ilifikia tukashirikisha ndugu,jamaa na marafiki lkn alifanya kwa kificho.
Nawasilisha