simuombei mabaya,ila huyo dada atakuja kujuta baadae
Mkuu wachache tutakuelewaMi nilimwacha msichana kwa sababu ya kutoa mimba, kiongozi una moyo mpaka leo upo nae. sababu ya kutoa mimba alisema ni nini? Mara nyingi wanakuwaga wamechanganya madesa.
Kwa uelewa wangu hata siku moja binti huwa haombi wala kulazimisha kutoa mimba. Ila atakulazimisha uende kwao ukakamilishe taratibu, kaa chonjo unaibiwa mkuu A.K.A.47
amevuna alichokipanda,naomba kama ulimuonya muache akale na wakwao!kutoa mimba bila kukubaliana na mpenzi wako ni kumkosea,amekukosea sana,achana naye hyo sio mimba ya kwanza kutoa,amejuaje hvyo vidonge na kazi yake?hajagoogle hyo ni mtaalamu!wana jf habari
mpenz wangu alitoa mimba kwa kutumia vidonge(misoprostol).
Sasa hivi anatokwa na damu none stop takriban one consecutive month.
Naomba kwa yeyote anayefahamu madhara ya muda mfupi/mrefu ya vidonge hivi anijuze ili niweze pia kufaham.
NB: nilimkataza sana asitoe hiyo mimba hadi ilifikia tukashirikisha ndugu,jamaa na marafiki lkn alifanya kwa kificho.
Nawasilisha
andika kiswahili we mzee vipi, mbona unataka kutuchanganya!!? "whitish meatlish" ndio nneven my wife anamenstruate ni 3 week now inanitisha sana sometimes pieces of somesort just like whitish meatlish
kwani nae alitoa mimba?? au ana tumia njia gani ya uzazi wa mpango?? au nitatizo lake la muda kidogo?Mpo wapi na huyo mpenzio? tafadhali chukuwa hatua haraka mwezi mzima mtu anatokwa tu na damu! dah kuna watu wanavumilia maumivu mpaka inashangaza
andika kiswahili we mzee vipi, mbona unataka kutuchanganya!!? "whitish meatlish" ndio nn
Katubuni Mkuu Kwa Dhambi uliyoshiriki ... And Never Let it happen Again kwa Mtu Yeyotewana jf habari
mpenz wangu alitoa mimba kwa kutumia vidonge(misoprostol).
Sasa hivi anatokwa na damu none stop takriban one consecutive month.
Naomba kwa yeyote anayefahamu madhara ya muda mfupi/mrefu ya vidonge hivi anijuze ili niweze pia kufaham.
NB: nilimkataza sana asitoe hiyo mimba hadi ilifikia tukashirikisha ndugu,jamaa na marafiki lkn alifanya kwa kificho.
Nawasilisha
Kwa huyo aliyetoa aende hospital akasafishwe mapema na aeleze ukweli alichokifanya Marie stopes yoyote aende kuna Mwenge Africa Sana,kimara Bucha, Temeke sokota na Mabibo mwisho.Na atafute choya(Roselle) achemshe anywe kama juice kwasababu ya damu aliyopoteza na akipata pia ubuyu wa unga ule mweupe achanganye.even my wife anamenstruate ni 3 week now inanitisha sana sometimes pieces of somesort just like whitish meatlish
Ndo maana Mungu si kama mwanadamu.laiti ungepewa hata ukarani na Mungu nahisi ungewakaanga wanadamu wote. Hivi ww unajiona uko very perfect Mbele ya Mungu siyo!!?mwache afe,na wewe ufe kwa kuwa ulishiriki
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa miso ni dawa ya ku induce uchungu kwa mama mjamzito. Wanatumbukiza kwenye njia ya uzazi. Sasa yy sinui alikunywa au alitumbukiza. Daah poleni sanaa.hizi dawa kwa kweli ni mbaya sana,"thanks"!on the way to hospital now!