Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Clip hii hapa chini anaongea Dr Wilbroad Slaa kuviaasa vyama vya Upinzani kuhusu namna ya kubadilika kisera la sivyo Dr John Pombe Magufuli atawapoteza maana yeye #JPM amegusa hizo haki zote za msingi zenye kumgusa mwananchi
Ewe mwananchi popote ulipo epuka ushawishi wa maandamano yoyote yale
Tumuache Mh Rais Dr John Pombe Magufuli atupeleke kule Kaanani ambako siku za nyuma vyama vya Upinzani vilikuwa wanaotaji
tufike
Ewe mwananchi popote ulipo epuka ushawishi wa maandamano yoyote yale
Tumuache Mh Rais Dr John Pombe Magufuli atupeleke kule Kaanani ambako siku za nyuma vyama vya Upinzani vilikuwa wanaotaji
tufike