MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Kabla ya kufikia mwaka 2020, chukueni idadi ya majimbo yote ya ubunge nchini mapema, yawekeni mezani kaeni mapema vyama vyote vinavyounda UKAWA! Pangeni mikakati na hata namna ya kuzikabili hujuma za wizi wa kura mapema kwa namna yeyote ile. Hili linawezekana kabisa provided kila jimbo wasimamizi ni mawakala wa CCM, Wapiga kura ni raria wenyewe na sio wahujumu hao,hivyo mnaweza kulikabili hilo. CUF Waliweza kule unguja na Pemba nanyi huku bara inawezekana.
Nendeni vyuoni, kwenye taasisi za umma na binagsi chukueni vijana jasiri na wasomi muwashawishi na kisha Wavuteni kwenu wasimamisheni kwa kila jimbo kugombea ubunge,Ikiwezekana undeni timu yenye watu makini ya kuwapata watu hao kwa namna yeyote ile. Sehemu ambazo zinaonekana kua na wakongwe wa CCM waliokaa miaka mingi na wale watakaowapa changamoto wataftieni muarobaini yake, wagombea watambulisheni mapema wajulikane kwa kila jumbo.Yaani msiachie jimbo hata moja na msiwe na huruma na mtu.
Mkishinda majimbo mengi mkaizidi CCM, Mkuu wa nchi hatakua na la kufanya kwenye maamuzi, hatoweza kusaini mswaada wowote wa sheria bungeni bila kupitia kwenye mikono yenu. Nzuri zaidi kipo kipendele cha sheria kinachosema kua kiongozi yeyote kama hamjaridhika na utendaji wake mnaweza kupiga kura za kumuondoa kwa sababu akidi mtakua nayo ninyi.
Mtambue kua kwa wingi wenu huo mtakua na spika wa bunge na naibu spika wake, mtakua wenyeviti wa bunge, mtakua Waziri Mkuu na Muhimbili mzima wa bunge utakua chini yenu.
Nawajakishieni kua mkiliweza hilo, mkaweka ubinafsi na uswahiba pembeni mkatazama uwezo wa mtu, hakika mtakua mmejitwalia madaraka na nafasi ya kiti cha urais kabla ya 2025.
Nendeni vyuoni, kwenye taasisi za umma na binagsi chukueni vijana jasiri na wasomi muwashawishi na kisha Wavuteni kwenu wasimamisheni kwa kila jimbo kugombea ubunge,Ikiwezekana undeni timu yenye watu makini ya kuwapata watu hao kwa namna yeyote ile. Sehemu ambazo zinaonekana kua na wakongwe wa CCM waliokaa miaka mingi na wale watakaowapa changamoto wataftieni muarobaini yake, wagombea watambulisheni mapema wajulikane kwa kila jumbo.Yaani msiachie jimbo hata moja na msiwe na huruma na mtu.
Mkishinda majimbo mengi mkaizidi CCM, Mkuu wa nchi hatakua na la kufanya kwenye maamuzi, hatoweza kusaini mswaada wowote wa sheria bungeni bila kupitia kwenye mikono yenu. Nzuri zaidi kipo kipendele cha sheria kinachosema kua kiongozi yeyote kama hamjaridhika na utendaji wake mnaweza kupiga kura za kumuondoa kwa sababu akidi mtakua nayo ninyi.
Mtambue kua kwa wingi wenu huo mtakua na spika wa bunge na naibu spika wake, mtakua wenyeviti wa bunge, mtakua Waziri Mkuu na Muhimbili mzima wa bunge utakua chini yenu.
Nawajakishieni kua mkiliweza hilo, mkaweka ubinafsi na uswahiba pembeni mkatazama uwezo wa mtu, hakika mtakua mmejitwalia madaraka na nafasi ya kiti cha urais kabla ya 2025.