Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,566
Ukifuatilia kauli za mgombea wa CCM ndugu Magufuli kwa muda mrefu tangu aingie madarakani amekua ana makosa mengi sana kwenye namna ya kuongea na kuwasilisha hotuba zake,amekua na kauli nyingi sana zinazokinzana zenyewe.
Hii ni moja ya mapungufu makubwa ya mgombea wa CCM na CHADEMA wanaweza itumia kama karata ya kuongeza kuamini na kuwafanya wananchi wajue ni mtu wa aina gani.
Mfano wa mambo yanayokinzana ni:
- Issue ya uzazi wa mpango, inakinzana kabisa Vs elimu ya uzazi tunayopewa kila siku
- Issue ya kuwaita Barrick mabeberu na wezi Vs kuwaita wanaume
- Kusema yeye amesafiri sana nje ya nchi akiwa waziri Vs juzi kusema yeye hajawahi kabisa kusafiri nje ya nchi
- Kusema hakumtuma mtu kwenda kugombea vs kusema alimtoa kitila mkumbo aende kigamboni mwigulu abaki singida
- Kusema wasaliti wananakiwa kuuawa Vs Lissu kupigwa risasi masaa mawili baadaye
Hiyo ni mifano michache, ambayo cha kwanza wananchi wengi huwa wanasikia tu vijiweni bila kumsikia live, sasa ushauri wangu ni huu...
CHADEMA irekodi zile audio zoteee zenye kuonesha utata wa kauli za Magufuli, baada ya hapo hizo audio ziwekwe wakati wa mikutano ya kampeni ili watu wasikia kwa masikio yao. Yaani wakati Lissu anahutubia anaposema magufuli alikosea hiki au hiki basi zile audio au hata video ziwekwe live na zitolewe ufafanuzi hapo hapo, ni afadhali kuliko kusema maneno tu kwamba alisema hiki akasema hiki.
Pia wanaweza kutumia audio au video za mwalimu Nyerere zinazoashiria kwamba CCM ya sasa siyo ile aliyoitaka na kuiacha yeye.
Kampeni zinataka ubunifu,siyo kufanya kwa mazoea kama wananchi wanaenda kushangaa wasanii basi CHADEMA waje na kitu cha kuwafanya watu wavutike kuja kwenye mikutano yao ya kampeni.
Kampeni ni Uchonganishi,kutafuta mapungufu ya mwenzio uyatumie kama credit kwako,tafuta mapungufu kadri unavyoweza sababu nina hakika hakuna kipindi zaidi ya hiki CHADEMA watapata wasaa wa kuongea haya,siku tu tume imemtangaza magufuli tangazo lake la kwanza litakua kuzuia tena siasa hadi 2025 wakati wa uchaguzi,kama ilivyokuwa 2015.
CHADEMA kazi ni kwenu,huo ni ubunifu kwenye kampeni
Hii ni moja ya mapungufu makubwa ya mgombea wa CCM na CHADEMA wanaweza itumia kama karata ya kuongeza kuamini na kuwafanya wananchi wajue ni mtu wa aina gani.
Mfano wa mambo yanayokinzana ni:
- Issue ya uzazi wa mpango, inakinzana kabisa Vs elimu ya uzazi tunayopewa kila siku
- Issue ya kuwaita Barrick mabeberu na wezi Vs kuwaita wanaume
- Kusema yeye amesafiri sana nje ya nchi akiwa waziri Vs juzi kusema yeye hajawahi kabisa kusafiri nje ya nchi
- Kusema hakumtuma mtu kwenda kugombea vs kusema alimtoa kitila mkumbo aende kigamboni mwigulu abaki singida
- Kusema wasaliti wananakiwa kuuawa Vs Lissu kupigwa risasi masaa mawili baadaye
Hiyo ni mifano michache, ambayo cha kwanza wananchi wengi huwa wanasikia tu vijiweni bila kumsikia live, sasa ushauri wangu ni huu...
CHADEMA irekodi zile audio zoteee zenye kuonesha utata wa kauli za Magufuli, baada ya hapo hizo audio ziwekwe wakati wa mikutano ya kampeni ili watu wasikia kwa masikio yao. Yaani wakati Lissu anahutubia anaposema magufuli alikosea hiki au hiki basi zile audio au hata video ziwekwe live na zitolewe ufafanuzi hapo hapo, ni afadhali kuliko kusema maneno tu kwamba alisema hiki akasema hiki.
Pia wanaweza kutumia audio au video za mwalimu Nyerere zinazoashiria kwamba CCM ya sasa siyo ile aliyoitaka na kuiacha yeye.
Kampeni zinataka ubunifu,siyo kufanya kwa mazoea kama wananchi wanaenda kushangaa wasanii basi CHADEMA waje na kitu cha kuwafanya watu wavutike kuja kwenye mikutano yao ya kampeni.
Kampeni ni Uchonganishi,kutafuta mapungufu ya mwenzio uyatumie kama credit kwako,tafuta mapungufu kadri unavyoweza sababu nina hakika hakuna kipindi zaidi ya hiki CHADEMA watapata wasaa wa kuongea haya,siku tu tume imemtangaza magufuli tangazo lake la kwanza litakua kuzuia tena siasa hadi 2025 wakati wa uchaguzi,kama ilivyokuwa 2015.
CHADEMA kazi ni kwenu,huo ni ubunifu kwenye kampeni