Hivi baadhi ya watu humu ndani mlifauluje mitihani yenu na kupata hizo degreez? yaani post ipo mbele yako..unaisoma na kuijibu hapo hapo..lakini points unazoandika tofauti kabisaa na mleta mada alivyojiexpress..tatizo ni nini haswa? mnakurupuka kujibu kabla ya kumaliza kusoma au mankuwa wasahaulifu wa mlichokisoma: niwasaidieni kuwapa points kidogo kuhusu suala la huyu anayemtaka mtoto
1. Wakati jamaa anaachana na huyu mama mtoto hakujua kama huyo dada ana mimba
2. Aliposikia ana mimba hakuwaza kama ni yake sababu by that time huyu dada alishaanza kuishi na mwanamme mwingine
3. Mtoto alipozaliwa jamaa kwa sababu tajwa hapo juu hakujua kama ni mtoto wake mpaka "shemeji" yake alipomstuakuwa "damu yako ile"
4. Alikuja kufahamu baadae kuwa ni mwanae kweli kwa vigezo viwili
a) kushabihiana kwa mtoto tajwa na mwanae jamaa wa ndani ya ndoa (alionyeshwa picha na mama mtoto)
b) mama mtoto alikubali kwa kinywa chake kuwa kweli mtoto ni wa jamaa ila alikaa kimya sababu alishamwambia mtu anayeishi naye kuwa ujauzito ni wake
In light of the above, tuendelee kumpa jamaa mawazo
NB. Kama kawaida kuna ambao bila kusoma kwa makini nilichokiandika watakurupuka
1. Wakati jamaa anaachana na huyu mama mtoto hakujua kama huyo dada ana mimba
2. Aliposikia ana mimba hakuwaza kama ni yake sababu by that time huyu dada alishaanza kuishi na mwanamme mwingine
3. Mtoto alipozaliwa jamaa kwa sababu tajwa hapo juu hakujua kama ni mtoto wake mpaka "shemeji" yake alipomstuakuwa "damu yako ile"
4. Alikuja kufahamu baadae kuwa ni mwanae kweli kwa vigezo viwili
a) kushabihiana kwa mtoto tajwa na mwanae jamaa wa ndani ya ndoa (alionyeshwa picha na mama mtoto)
b) mama mtoto alikubali kwa kinywa chake kuwa kweli mtoto ni wa jamaa ila alikaa kimya sababu alishamwambia mtu anayeishi naye kuwa ujauzito ni wake
In light of the above, tuendelee kumpa jamaa mawazo
NB. Kama kawaida kuna ambao bila kusoma kwa makini nilichokiandika watakurupuka