USHAURI: Msishiriki Uchaguzi mdogo ujao iwapo.....

Huu ushauri kuntu. Kimsingi ilikuwa muhimu kuwafahamisha mapema tu hakuna haja ya uchaguzi wowote tena katika status quo. Jitahada ziwekezwe kwenye kupata umoja zaidi wa wapinzani kushinikiza katiba mpya yenye kuweka terrain sawa sawa. Hali ya sasa hivi hailipi maana ni udhalimu mtupu.
 
Nashukuru sana UKAWA kwa kusikiliza ushauri wangu kama NEC hawataki kujirekebisha waacheni wawatangaze wagombea wa CCM kuwa wamepita bila kupingwa.

Chadema tuko pamoja.
 
Tatizo ni huyu dikteta uchwara anayejifanya anaunga mkono mfumo wa vyama vingi nchini lakini wakati huo huo hataki viwe huru kufanya shughuli zake za kisiasa nchini bila yeye kuviingilia. Ashinikizwe huyu aamue kimoja ama mfumo wa vyama vingi au kimoja badala ya kuendeleza unafiki wake ambao unaweza kuwa chanzo cha umwagaji mkubwa wa damu nchini.
Ashinikizwe kwa njia gani? Wakati njia inatafutwa upinzani uendelee kushiriki uchaguzi ama la?
 
Back
Top Bottom