USHAURI: Msishiriki Uchaguzi mdogo ujao iwapo.....

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
KAMA Rais anawaagiza returning officers wa Tume ya Uchaguzi NEC (maDED) kuwa asisikie DED anamtangaza mpinzani kashinda kwa vile anamlipa mshahara, anampa ulinzi na gari juu.

KAMA viongozi wa CCM wakiwemo wabunge wanawaagiza wafuasi wa CCM kuwafuata wapinzani kuwapiga na kuwakata mapanga huku wakisema polisi ni yao na mahakama ni yao tena mbele ya polisi bila kuchukuliwa hatua zozote.

KAMA polisi anatumika kumpiga na kumbruta nje ya chumba cha kuhesabia kura wakala wa Chadema ili abaki wakala wa CCM pekee.

Na KAMA matokeo yanatangazwa kwa kutumia hesabu zao wanazozipanga wenyewe pamoja na dosari zote kuripotiwa bado NEC inabariki.

Kuna haja gani ya kusumbua wanachama na mashabiki wenu kufanya kampeni huku mkijua hata mshinde hamtatangazwa washindi?


Kuna chaguzi ndogo zinakuja za Wabunge majimbo ya Longido, Singida Magharibi na Songea Mjini, najua kabla kutakuwa na mikutano kati yenu na NEC, wapinzani (CHADEMA) waje na RESOLUTION moja ya kuwakataa maDED kuwa returning officers huku mkijenga hoja yenu kutokana na kauli ya rais.

IWAPO NEC itakataa ushauri huo, kuliko kupeleka watu wakavunjwe miguu na polisi, wakadhalilishwe pengine kuuawa. Mimi nashauri huku nikijua kabisa faida na hasara za kususia uchaguzi, tumejifunza kwa CUF ya Maalimu Seif na juzi tumejifunza kwa NASA ya Raila Odinga, bora mjitoe kwenye uchaguzi huu, ili muanze mikakati mipya ya kujifunza mbinu mbalimbali za kukabiliana na matukio hayo mapema kabla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019.

Mengi yatasemwa, ila najua watu watawaelewa kuwa mmeepusha maafa kama yaliyotokea kwenye uchaguzi uliopita wa Madiwani, na vile vile mtakuwa mmepeleka 'clear message' kwa watawala na mataifa kuwa kinachofanyika Tanzania sio uchaguzi bali ni mfumo wa kudanganya watu na mataifa yadhani kuwa wako madarakani kihalali na wamechaguliwa na wananchi.
 
KAMA Rais anawaagiza returning officers wa Tume ya Uchaguzi NEC (maDED) kuwa asisikie DED anamtangaza mpinzani kashinda kwa vile anamlipa mshahara, anampa ulinzi na gari juu.

KAMA viongozi wa CCM wakiwemo wabunge wanawaagiza wafuasi wa CCM kuwafuata wapinzani kuwapiga na kuwakata mapanga huku wakisema polisi ni yao na mahakama ni yao tena mbele ya polisi bila kuchukuliwa hatua zozote.

KAMA polisi anatumika kumpiga na kumbruta nje ya chumba cha kuhesabia kura wakala wa Chadema ili abaki wakala wa CCM pekee.

Na KAMA matokeo yanatangazwa kwa kutumia hesabu zao wanazozipanga wenyewe pamoja na dosari zote kuripotiwa bado NEC inabariki.

Kuna haja gani ya kusumbua wanachama na mashabiki wenu kufanya kampeni huku mkijua hata mshinde hamtatangazwa washindi?


Kuna chaguzi ndogo zinakuja za Wabunge majimbo ya Longido, Singida Magharibi na Songea Mjini, najua kabla kutakuwa na mikutano kati yenu na NEC, wapinzani (CHADEMA) waje na RESOLUTION moja ya kuwakataa maDED kuwa returning officers huku mkijenga hoja yenu kutokana na kauli ya rais.

IWAPO NEC itakataa ushauri huo, kuliko kupeleka watu wakavunjwe miguu na polisi, wakadhalilishwe pengine kuuawa. Mimi nashauri huku nikijua kabisa faida na hasara za kususia uchaguzi, tumejifunza kwa CUF ya Maalimu Seif na juzi tumejifunza kwa NASA ya Raila Odinga, bora mjitoe kwenye uchaguzi huu, ili muanze mikakati mipya ya kujifunza mbinu mbalimbali za kukabiliana na matukio hayo mapema kabla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019.

Mengi yatasemwa, ila najua watu watawaelewa kuwa mmeepusha maafa kama yaliyotokea kwenye uchaguzi uliopita wa Madiwani, na vile vile mtakuwa mmepeleka 'clear message' kwa watawala na mataifa kuwa kinachofanyika Tanzania sio uchaguzi bali ni mfumo wa kudanganya watu na mataifa yadhani kuwa wako madarakani kihalali na wamechaguliwa na wananchi.
Tatizo " Ruzuku", unajitoaje huku fweza unaitaka?!!!
 
Quinine, umeandika maneno kuntu na yenye busara na tija kwa wenye hekima na wasikivu. Quinine ni dawa na in vema tuitumie.

Moja ya mambo ya msingi ni kufanya a scientific study into what really happened on November 26, 2017. Tujue kwa kina changamoto na makosa yetu yalikuwa yapi? Kamati tendaji ifanye hii kazi ikisaidiwa na wataalamu, ikiwezekana hata wa kimataifa. Mwisho, Chadema/Ukawa waje na strong action points.

Binafsi nina amini ukawa/chadema ilifanya makosa makubwa kuahirisha UKUTA. We need to go back to the drawing board!
 
Hebu tuwekee hiyo clip ya mheshimiwa Rais akitoa maelekeza kwa ma DED maana sijawahi kuisikia mbali na kuona tu watu waki comment. Sidhani kama mh. Rais anaweza kutoa kauli hiyo
 
Quinine, umeandika maneno kuntu na yenye busara na tija kwa wenye hekima na wasikivu. Quinine ni dawa na in vema tuitumie.

Moja ya mambo ya msingi ni kufanya a scientific study into what really happened on November 26, 2017. Tujue kwa kina changamoto na makosa yetu yalikuwa yapi? Kamati tendaji ifanye hii kazi ikisaidiwa na wataalamu, ikiwezekana hata wa kimataifa. Mwisho, Chadema/Ukawa waje na strong action points.

Binafsi nina amini ukawa/chadema ilifanya makosa makubwa kuahirisha UKUTA. We need to go back to the drawing board!
Asante mkuu, what needed is a surprise and unpredictable strong action.

Mfano kauli ya MH Mbowe kusema wanachama wa Chadema waanze kujilinda kwa namna yeyote ile ilikuwa strong lakini ilichelewa, kauli kama hiyo ilitakiwa itolewe wakati wa kampeni uwaandae watu kama ni kuvaa bukta wavae mapema au washone, sasa yeye anatoa kauli siku ya kupiga kura lakini nafikiri amejifunza kitu, let us close our fingers.
 
Hebu tuwekee hiyo clip ya mheshimiwa Rais akitoa maelekeza kwa ma DED maana sijawahi kuisikia mbali na kuona tu watu waki comment. Sidhani kama mh. Rais anaweza kutoa kauli hiyo
Ukweli ni kuwa alishasema mabaya zaidi ya haya wenye akili tumeelewa. Wewe ngojea clip!
 
Aliyeshinda kashindwa, aliyeshindwa kang'ara
Aliyeshinda katendwa, Aliyeshindwa kapora
Aliyeshinda kapondwa, Aliyeshindwa hongera
UCHAGUZI USO HURU, THAMANI YA KURA NINI?
 
Asante mkuu, what needed is a surprise and unpredictable strong action.

Mfano kauli ya MH Mbowe kusema wanachama wa Chadema waanze kujilinda kwa namna yeyote ile ilikuwa strong lakini ilichelewa, kauli kama hiyo ilitakiwa itolewe wakati wa kampeni uwaandae watu kama ni kuvaa bukta wavae mapema au washone, sasa yeye anatoa kauli siku ya kupiga kura lakini nafikiri amejifunza kitu, let us close our fingers.
FB_IMG_1507150289722.jpg
 
KAMA Rais anawaagiza returning officers wa Tume ya Uchaguzi NEC (maDED) kuwa asisikie DED anamtangaza mpinzani kashinda kwa vile anamlipa mshahara, anampa ulinzi na gari juu.

KAMA viongozi wa CCM wakiwemo wabunge wanawaagiza wafuasi wa CCM kuwafuata wapinzani kuwapiga na kuwakata mapanga huku wakisema polisi ni yao na mahakama ni yao tena mbele ya polisi bila kuchukuliwa hatua zozote.

KAMA polisi anatumika kumpiga na kumbruta nje ya chumba cha kuhesabia kura wakala wa Chadema ili abaki wakala wa CCM pekee.

Na KAMA matokeo yanatangazwa kwa kutumia hesabu zao wanazozipanga wenyewe pamoja na dosari zote kuripotiwa bado NEC inabariki.

Kuna haja gani ya kusumbua wanachama na mashabiki wenu kufanya kampeni huku mkijua hata mshinde hamtatangazwa washindi?


Kuna chaguzi ndogo zinakuja za Wabunge majimbo ya Longido, Singida Magharibi na Songea Mjini, najua kabla kutakuwa na mikutano kati yenu na NEC, wapinzani (CHADEMA) waje na RESOLUTION moja ya kuwakataa maDED kuwa returning officers huku mkijenga hoja yenu kutokana na kauli ya rais.

IWAPO NEC itakataa ushauri huo, kuliko kupeleka watu wakavunjwe miguu na polisi, wakadhalilishwe pengine kuuawa. Mimi nashauri huku nikijua kabisa faida na hasara za kususia uchaguzi, tumejifunza kwa CUF ya Maalimu Seif na juzi tumejifunza kwa NASA ya Raila Odinga, bora mjitoe kwenye uchaguzi huu, ili muanze mikakati mipya ya kujifunza mbinu mbalimbali za kukabiliana na matukio hayo mapema kabla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019.

Mengi yatasemwa, ila najua watu watawaelewa kuwa mmeepusha maafa kama yaliyotokea kwenye uchaguzi uliopita wa Madiwani, na vile vile mtakuwa mmepeleka 'clear message' kwa watawala na mataifa kuwa kinachofanyika Tanzania sio uchaguzi bali ni mfumo wa kudanganya watu na mataifa yadhani kuwa wako madarakani kihalali na wamechaguliwa na wananchi.
Odinga alivyosusia uchaguzi Kenya kwa sababu kama hizo alitukanwa na bavicha, na ushindi wa Uhuru ukashangiliwa kwa nguvu zote. Bavicha ni kama hayajielewi yanachosimamia..
 
Tatizo ni huyu dikteta uchwara anayejifanya anaunga mkono mfumo wa vyama vingi nchini lakini wakati huo huo hataki viwe huru kufanya shughuli zake za kisiasa nchini bila yeye kuviingilia. Ashinikizwe huyu aamue kimoja ama mfumo wa vyama vingi au kimoja badala ya kuendeleza unafiki wake ambao unaweza kuwa chanzo cha umwagaji mkubwa wa damu nchini.

Yaani hii nchi inajiita ipo katika mfumo wa vyama vingi, lakini practically ni kama tupo kwenye mfumo wa Chama kimoja
 
Asante mkuu, what needed is a surprise and unpredictable strong action.

Mfano kauli ya MH Mbowe kusema wanachama wa Chadema waanze kujilinda kwa namna yeyote ile ilikuwa strong lakini ilichelewa, kauli kama hiyo ilitakiwa itolewe wakati wa kampeni uwaandae watu kama ni kuvaa bukta wavae mapema au washone, sasa yeye anatoa kauli siku ya kupiga kura lakini nafikiri amejifunza kitu, let us close our fingers.
Sasa tumeshajua na hatuhitaji kuambiwa tena. From the word go we should be ready for all eventualities. Hii nchi ni yetu sote na hata kama tuko wachache lakini askari ni wachache zaidi. Udhalimu lazima ukomeshwe!
 
Hakuna mtu wa kumwaga damu nyie...mmelewa konyagi...kunyweni maji mpunguze frustration...kama ngome muhimu ya chadema (Arusha na Moshi) imeingiliwa kirahsi hvyo tofauti na 2011 watu walikuwa wanajitoa mhanga....huko namtumbo sasa au tandahimba watasemaje
...uzee unawaendea vibaya
 
Kwahiyo CCM imejifunza kutoka Kenya kuwa kama Uhuru alipora kura na CCM ipore.
Kama unashangilia jirani yako kuibiwa, na wewe jifunze kuvumilia ukiibiwa. Kama ni kweli mnahisi mnaibiwa..

Lakini huku mtaani hakuna anayewaelewa tena
 
Hakuna mtu wa kumwaga damu nyie...mmelewa konyagi...kunyweni maji mpunguze frustration...kama ngome muhimu ya chadema (Arusha na Moshi) imeingiliwa kirahsi hvyo tofauti na 2011 watu walikuwa wanajitoa mhanga....huko namtumbo sasa au tandahimba watasemaje
...uzee unawaendea vibaya
Ngome imeingiliwa na nani, kama na polisi sawa lakini CCM Arusha mitaani haipo.
 
Back
Top Bottom