co fm
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,415
- 2,140
Wakuu nimepata chimbo jipya la kazi kwa muhindi huko baada ya kutoka kwenye sehemu yangu ya awali ambayo nilikuwa nalipwa 1M bila makato.
Sasa nafikiri kwa huu mshahara wa take home ya 800k kuishi.Binafsi mambo kadhaa.
Moja, kutuma wa wazee 100k kwa mwezi.
Mbili, kodi 200k.
Tatu, Nataka ninunue gari japo hela ipo ila mafuta per day 6k x30=180k.
Nne,Chakula 300k and other expenses…
Je nitatoboa? Au nifanye amendments zipi.
Note:Nipo Dar(Sinza, kazi Posta)
Sasa nafikiri kwa huu mshahara wa take home ya 800k kuishi.Binafsi mambo kadhaa.
Moja, kutuma wa wazee 100k kwa mwezi.
Mbili, kodi 200k.
Tatu, Nataka ninunue gari japo hela ipo ila mafuta per day 6k x30=180k.
Nne,Chakula 300k and other expenses…
Je nitatoboa? Au nifanye amendments zipi.
Note:Nipo Dar(Sinza, kazi Posta)