mkosa shingo
Member
- Jan 26, 2021
- 93
- 125
Mbona mimi nimeumizwa zaidi ya mara moja nakosea wapi?That's the stage.. one time utakuja mwenyewe kwenye equilibrium..
Muda huo Mapenzi hayatakutesa sana..
Kinachokutesa ni Attachment uliyofanya..
Muda utafika.. hautofanya Attachment na mtu wala kitu wala idea.. muda huo ndio muda utaokuwa huru.
Usijilaumu hiyo ni stage.. lazima wanadamu tuipitie.. that's where experience comes from.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app