Ushauri: Mpenzi wangu nilietaka kumuoa ameondoka na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine

That's the stage.. one time utakuja mwenyewe kwenye equilibrium..
Muda huo Mapenzi hayatakutesa sana..
Kinachokutesa ni Attachment uliyofanya..

Muda utafika.. hautofanya Attachment na mtu wala kitu wala idea.. muda huo ndio muda utaokuwa huru.

Usijilaumu hiyo ni stage.. lazima wanadamu tuipitie.. that's where experience comes from.
Mbona mimi nimeumizwa zaidi ya mara moja nakosea wapi?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka miwili. Hatukujaaliwa kupata mtoto na wazazi wangu walimtambua kama mkwe. Niliingia kwa miguu yote miwili katika penzi lake nikidhani ndio tayari chaguo langu, nilimpenda kupitiliza.

Hivi ninavyowataarifu kaenda kuishi na mwanaume mwingine tena jirani. Wakati mimi ndio niliemtumia nauli kutoka Mwanza Kirumba mapaka Dar.

Hapa nina homa ya mapenzi juu yake, mawazo hayaniishi juu yake, nikimuwazia arudi. Kiukweli hali yangu sio nzuri juu ya upendo kwa huyo mchumba wangu. Kwa kifupi naumwa na sifanyi mambo namuwaza tu yeye.

unatuvuruga, mara kaenda kuishi mara kaolewa.
 
Nilikuwa na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka miwili. Hatukujaaliwa kupata mtoto na wazazi wangu walimtambua kama mkwe. Niliingia kwa miguu yote miwili katika penzi lake nikidhani ndio tayari chaguo langu, nilimpenda kupitiliza.

Hivi ninavyowataarifu kaenda kuishi na mwanaume mwingine tena jirani. Wakati mimi ndio niliemtumia nauli kutoka Mwanza Kirumba mapaka Dar.

Hapa nina homa ya mapenzi juu yake, mawazo hayaniishi juu yake, nikimuwazia arudi. Kiukweli hali yangu sio nzuri juu ya upendo kwa huyo mchumba wangu. Kwa kifupi naumwa na sifanyi mambo namuwaza tu yeye.

Mroge tuuu!! Kwa nini akuumize moyo??

Usipowahi mroga watakuroga na mume mwenzio. ili waishi kwa uhuru.

Kwanza hawaamini km wako salama utapigwa juju mpaka utembee kinyumenyume.
Huyo dem mchawi funguka!!!

Wanajiamini nini??? Subiri uone mziki wake....utakufa una chekacheka hivi!!

Binadamu wengine si watu ni mapepo yanavinjali humu duniani mnaokotaokota tuuuu.
Huna binamu zako wewe wa kuoa?? Kajipendekeze kwa shangazj au mjomba
 
Nilikuwa na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka miwili. Hatukujaaliwa kupata mtoto na wazazi wangu walimtambua kama mkwe. Niliingia kwa miguu yote miwili katika penzi lake nikidhani ndio tayari chaguo langu, nilimpenda kupitiliza.

Hivi ninavyowataarifu kaenda kuishi na mwanaume mwingine tena jirani. Wakati mimi ndio niliemtumia nauli kutoka Mwanza Kirumba mapaka Dar.

Hapa nina homa ya mapenzi juu yake, mawazo hayaniishi juu yake, nikimuwazia arudi. Kiukweli hali yangu sio nzuri juu ya upendo kwa huyo mchumba wangu. Kwa kifupi naumwa na sifanyi mambo namuwaza tu yeye.

Hujatuambia kwanini ameondoka ?

Hivi kwanini msiwe mnaamishi pamoja baada ya kuoana ?
 
Hujatuambia kwanini ameondoka ?

Hivi kwanini msiwe mnaamishi pamoja baada ya kuoana ?
NYIE MMEISHIA LA NGAP
NI HV
KAMA PESA NILIKUWA NA MPA
MAPENZI NILIKUWA PIA NA MPA
SALOON KILA BAADA YA WIKI NILIKUWA NAMPATIA PESA
SASA SABABU GANI UNAYOITAKA WEWE NIKWAMBIE ILOMFANYA AONDOKE
U
 
NYIE MMEISHIA LA NGAP
NI HV
KAMA PESA NILIKUWA NA MPA
MAPENZI NILIKUWA PIA NA MPA
SALOON KILA BAADA YA WIKI NILIKUWA NAMPATIA PESA
SASA SABABU GANI UNAYOITAKA WEWE NIKWAMBIE ILOMFANYA AONDOKE
U
Sasa kama kila kitu ulikuwa una mpa na ameondoka,na hujui sababu wewe ni mjinga uliyepindukia. Huwezi ukawa timamu ukashindwa kujua sababu iliyo mfanya akaondoka. Kama hujui,huenda kutokujua kwako ndiyo sababu ya yeye kuondoka ameona huja kidhi vigezo.
 
Nilikuwa na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka miwili. Hatukujaaliwa kupata mtoto na wazazi wangu walimtambua kama mkwe. Niliingia kwa miguu yote miwili katika penzi lake nikidhani ndio tayari chaguo langu, nilimpenda kupitiliza.

Hivi ninavyowataarifu kaenda kuishi na mwanaume mwingine tena jirani. Wakati mimi ndio niliemtumia nauli kutoka Mwanza Kirumba mapaka Dar.

Hapa nina homa ya mapenzi juu yake, mawazo hayaniishi juu yake, nikimuwazia arudi. Kiukweli hali yangu sio nzuri juu ya upendo kwa huyo mchumba wangu. Kwa kifupi naumwa na sifanyi mambo namuwaza tu yeye.

To every action there's equal and opposite reaction. Mambo ya kani hayo
 
Nilikuwa na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka miwili. Hatukujaaliwa kupata mtoto na wazazi wangu walimtambua kama mkwe. Niliingia kwa miguu yote miwili katika penzi lake nikidhani ndio tayari chaguo langu, nilimpenda kupitiliza.

Hivi ninavyowataarifu kaenda kuishi na mwanaume mwingine tena jirani. Wakati mimi ndio niliemtumia nauli kutoka Mwanza Kirumba mapaka Dar.

Hapa nina homa ya mapenzi juu yake, mawazo hayaniishi juu yake, nikimuwazia arudi. Kiukweli hali yangu sio nzuri juu ya upendo kwa huyo mchumba wangu. Kwa kifupi naumwa na sifanyi mambo namuwaza tu yeye.

Hawa watu sio wakuwachukulia seriously kwenye maisha haya, mtu ambaye jina lake la mwisho linabadilika mda wowote sio wakuwaamini ata kidogo.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka miwili. Hatukujaaliwa kupata mtoto na wazazi wangu walimtambua kama mkwe. Niliingia kwa miguu yote miwili katika penzi lake nikidhani ndio tayari chaguo langu, nilimpenda kupitiliza.

Hivi ninavyowataarifu kaenda kuishi na mwanaume mwingine tena jirani. Wakati mimi ndio niliemtumia nauli kutoka Mwanza Kirumba mapaka Dar.

Hapa nina homa ya mapenzi juu yake, mawazo hayaniishi juu yake, nikimuwazia arudi. Kiukweli hali yangu sio nzuri juu ya upendo kwa huyo mchumba wangu. Kwa kifupi naumwa na sifanyi mambo namuwaza tu yeye.

Kadai nauli yako kwa mume mwenza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom