Ushauri: Mpenzi wangu ana kisirani na hasira za haraka

Mkomawatu

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
267
118
Salaam wanajamvi. Heri ya mwaka mpya 2017.
Jamani Mimi ni Kijana wa kiume nina mpenzi wangu tunapendana nina mahusiano naye sasa yapata mwaka mmoja.

Tatizo linalonisumbua hadi nashindwa kuelewa ni kwamba ana kisirani na hasira za haraka hata kwa jambo dogo halafu baadae akitulia anasema alikuwa hajijui, pamoja na hilo nimemsisitiza suala la ndoa ila anasema hadi ajiandae

Pamoja na hayo yapo baadhi ya mambo ambayo yananifanya nishindwe kumuelewa dhamira ya uhusiano wetu na hatma yake.
 
Hiyo bipolar personality disorder (BPD). Ni aina fulan yanmatatizo ya akili....
na habar mbaya ni kwamba kupona ni ngumu...
 
Mm nimekimbia kuja huku nilidhani imekwama kwa mambo ya msingi kumbe huu upuuzi tu, afu kugegedua mbona hamkwami? Embu taka umri wako tuone?
 
jaman hapa jf mbona kumekuwa nawanaume wa kulalamika kila siku mapenzi tu mimi nakasirika kuona Mr Wang kukosa maamuzi ya kiume.
 
Back
Top Bottom