Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,634
- 6,801
Ushauri gani huo? Siku mumewe hayupo ataishi vipi? Ktk maisha ya ndoa muunganiko wa familia ni muhimu sana.Mwambie awapotezee ndugu zako afanye yake....
Ushauri gani huo? Siku mumewe hayupo ataishi vipi? Ktk maisha ya ndoa muunganiko wa familia ni muhimu sana.Mwambie awapotezee ndugu zako afanye yake....
Dogo anamaliza oxygen ya ukoo ama? Mama yako naenilimuambia apotezey ila bado anacukulia serious ,,kashfa yenyew ni kwamba wanadai mtoto ana puwa likubwa eti sbb eti kwamba uko wetu hmna mwenye puwa likubwa ila naona ni sbb wanamuona kweny pica tuuu sbb mimi naona dogo ni handsome kama mimi baba ake!!so wife anaposkia kashfa hizo zinamuuma na pia zinauma ila nimejthd kuzizima !
AhahaaaMkuu unashindwa funguka halaf andika vizuri ueleweke kinachoonekana familiar yako wana wasiwasi na mtoto wako kuwa umebambikiwa na mkeo lakini wewe ndio baba ebu angalia mtoto wako jiangalie na wewe na mama ake
Kweli best amwangalie mtoto vizuri halaf kitanda hakizai haramu hiyo ni mtoto wakeAhahaaa
Habari za sa izi ndugu zangu,
Mimi kama mnavoona hapo ni mwana jamvi mpya ila kitambo nilikua naifatilia JF ila bado nilikua sijawa mwana memba rasmi kwasababu flani flani vile.
Kiufupi mimi ni kijana mwenye miaka 31 nimeoa na mtoto mmoja wa kiume, mimi kuna mambo fulani nahitaji msaada wenu nimeowa miaka mi 3 iliopita na mnamo mwaka jana 2017 nimebahatika kupata mtoto wa kiume, ilijulikana kwamba mimi sipo inchini toka 2012 nimemuoa mchumba wangu tulikua nae kitambo kwenye mapenzi kanivumilia sana hadi nikamuoa.
Kiufupi baada ya mke wangu kujifungua nilijulisha familia yangu na pia akawa tumia mtoto ila comment zikawa kibao kwa mtoto ila nikajitahidi kuzizima kwa namna moja ama nyingine baadae hapo ilibidi mke wangu awe kama mwenye kukasirikia, ndugu zangu kutokana na comment zilizokua zinatoka kwa ndugu zangu ila nimejitahidi sana kuzizima mambo yakaisha.
Juzi juzi nikiwa naongea na mama yangu mzazi kwa simu aligusia ile ile topic na ikawa haijamridhisha mke wangu kabisa mpaka sasa navoongea mke wangu kanikasirikia, kamkasirikia mama yangu, kakasirikia my whole familly kwa madai kwamba hapendwi kwenye familia yangu so nahitaji mawazo yenu sana kwa wale wahenga na uzoefu wa mambo ya ndoa.
Ahsanteni!
Wazazi mnaweza kuwa na muonekano mzuri lakini mkazaa usiku au unakuta wazazi sura zenu Mungu aliwaumba wakati kachoka na alikuwa hajamalizia pua kaitupia tuvbila tu bila kuangalia kama kaisiliba vizuri lakini mtoto anatoka mrembo hao ndugu waende zao hukoKweli best amwangalie mtoto vizuri halaf kitanda hakizai haramu hiyo ni mtoto wake
Habari za sa izi ndugu zangu,
Mimi kama mnavoona hapo ni mwana jamvi mpya ila kitambo nilikua naifatilia JF ila bado nilikua sijawa mwana memba rasmi kwasababu flani flani vile.
Kiufupi mimi ni kijana mwenye miaka 31 nimeoa na mtoto mmoja wa kiume, mimi kuna mambo fulani nahitaji msaada wenu nimeowa miaka mi 3 iliopita na mnamo mwaka jana 2017 nimebahatika kupata mtoto wa kiume, ilijulikana kwamba mimi sipo inchini toka 2012 nimemuoa mchumba wangu tulikua nae kitambo kwenye mapenzi kanivumilia sana hadi nikamuoa.
Kiufupi baada ya mke wangu kujifungua nilijulisha familia yangu na pia akawa tumia mtoto ila comment zikawa kibao kwa mtoto ila nikajitahidi kuzizima kwa namna moja ama nyingine baadae hapo ilibidi mke wangu awe kama mwenye kukasirikia, ndugu zangu kutokana na comment zilizokua zinatoka kwa ndugu zangu ila nimejitahidi sana kuzizima mambo yakaisha.
Juzi juzi nikiwa naongea na mama yangu mzazi kwa simu aligusia ile ile topic na ikawa haijamridhisha mke wangu kabisa mpaka sasa navoongea mke wangu kanikasirikia, kamkasirikia mama yangu, kakasirikia my whole familly kwa madai kwamba hapendwi kwenye familia yangu so nahitaji mawazo yenu sana kwa wale wahenga na uzoefu wa mambo ya ndoa.
Ahsanteni!
Swala la mwanamke kupendwa na familia hutokana na mambo kadhaa ambayo wewe mwanaume hukuyafanyia kazi toka mwanzoni mkiwa wachumba au mlipoanza maisha, kwanza unapotaka kuoa na umempata mchumba lazima uwapange ndugu zako na uwarubuni maana tayari umejiamlia hawajakuonyesha, wapo watakao mpenda na watakao mchukia jaribu kutaka kujua sababu za wao kumchukia au kutompenda. Sasa upande wa kwua umeshamuoa ndugu hawampendi sikiliza fahamu kwa undani kwanini, maana comment alizopata za picha za motto zinaonyesha tu kuwa hata kabla hajajifungua kulikuwepo na tatizo litambue hilo na lifanyie kazi. Ndio maana kwetu ukioa mke lazima aende akae na mama mkwe siku si chini ya 20 ili mama mkwe amueleze maisha yenu yalivyo na amuelekeze wanavyopikaga chakula na maisha yao yamefikia hapo walipo kwa sababu 1,2,3 ikiwemo na misaada ambayo mtoto wao aliyokuwa anawapa kama support.Habari za sa izi ndugu zangu,
Mimi kama mnavoona hapo ni mwana jamvi mpya ila kitambo nilikua naifatilia JF ila bado nilikua sijawa mwana memba rasmi kwasababu flani flani vile.
Kiufupi mimi ni kijana mwenye miaka 31 nimeoa na mtoto mmoja wa kiume, mimi kuna mambo fulani nahitaji msaada wenu nimeowa miaka mi 3 iliopita na mnamo mwaka jana 2017 nimebahatika kupata mtoto wa kiume, ilijulikana kwamba mimi sipo inchini toka 2012 nimemuoa mchumba wangu tulikua nae kitambo kwenye mapenzi kanivumilia sana hadi nikamuoa.
Kiufupi baada ya mke wangu kujifungua nilijulisha familia yangu na pia akawa tumia mtoto ila comment zikawa kibao kwa mtoto ila nikajitahidi kuzizima kwa namna moja ama nyingine baadae hapo ilibidi mke wangu awe kama mwenye kukasirikia, ndugu zangu kutokana na comment zilizokua zinatoka kwa ndugu zangu ila nimejitahidi sana kuzizima mambo yakaisha.
Juzi juzi nikiwa naongea na mama yangu mzazi kwa simu aligusia ile ile topic na ikawa haijamridhisha mke wangu kabisa mpaka sasa navoongea mke wangu kanikasirikia, kamkasirikia mama yangu, kakasirikia my whole familly kwa madai kwamba hapendwi kwenye familia yangu so nahitaji mawazo yenu sana kwa wale wahenga na uzoefu wa mambo ya ndoa.
Ahsanteni!