Hawks
Member
- Feb 26, 2018
- 12
- 4
Habari za sa izi ndugu zangu,
Mimi kama mnavoona hapo ni mwana jamvi mpya ila kitambo nilikua naifatilia JF ila bado nilikua sijawa mwana memba rasmi kwasababu flani flani vile.
Kiufupi mimi ni kijana mwenye miaka 31 nimeoa na mtoto mmoja wa kiume, mimi kuna mambo fulani nahitaji msaada wenu nimeowa miaka mi 3 iliopita na mnamo mwaka jana 2017 nimebahatika kupata mtoto wa kiume, ilijulikana kwamba mimi sipo inchini toka 2012 nimemuoa mchumba wangu tulikua nae kitambo kwenye mapenzi kanivumilia sana hadi nikamuoa.
Kiufupi baada ya mke wangu kujifungua nilijulisha familia yangu na pia akawa tumia mtoto ila comment zikawa kibao kwa mtoto ila nikajitahidi kuzizima kwa namna moja ama nyingine baadae hapo ilibidi mke wangu awe kama mwenye kukasirikia, ndugu zangu kutokana na comment zilizokua zinatoka kwa ndugu zangu ila nimejitahidi sana kuzizima mambo yakaisha.
Juzi juzi nikiwa naongea na mama yangu mzazi kwa simu aligusia ile ile topic na ikawa haijamridhisha mke wangu kabisa mpaka sasa navoongea mke wangu kanikasirikia, kamkasirikia mama yangu, kakasirikia my whole familly kwa madai kwamba hapendwi kwenye familia yangu so nahitaji mawazo yenu sana kwa wale wahenga na uzoefu wa mambo ya ndoa.
Ahsanteni!
Mimi kama mnavoona hapo ni mwana jamvi mpya ila kitambo nilikua naifatilia JF ila bado nilikua sijawa mwana memba rasmi kwasababu flani flani vile.
Kiufupi mimi ni kijana mwenye miaka 31 nimeoa na mtoto mmoja wa kiume, mimi kuna mambo fulani nahitaji msaada wenu nimeowa miaka mi 3 iliopita na mnamo mwaka jana 2017 nimebahatika kupata mtoto wa kiume, ilijulikana kwamba mimi sipo inchini toka 2012 nimemuoa mchumba wangu tulikua nae kitambo kwenye mapenzi kanivumilia sana hadi nikamuoa.
Kiufupi baada ya mke wangu kujifungua nilijulisha familia yangu na pia akawa tumia mtoto ila comment zikawa kibao kwa mtoto ila nikajitahidi kuzizima kwa namna moja ama nyingine baadae hapo ilibidi mke wangu awe kama mwenye kukasirikia, ndugu zangu kutokana na comment zilizokua zinatoka kwa ndugu zangu ila nimejitahidi sana kuzizima mambo yakaisha.
Juzi juzi nikiwa naongea na mama yangu mzazi kwa simu aligusia ile ile topic na ikawa haijamridhisha mke wangu kabisa mpaka sasa navoongea mke wangu kanikasirikia, kamkasirikia mama yangu, kakasirikia my whole familly kwa madai kwamba hapendwi kwenye familia yangu so nahitaji mawazo yenu sana kwa wale wahenga na uzoefu wa mambo ya ndoa.
Ahsanteni!