The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,279
good point, lakini yy ameamua kuwa risk takerBora ukaanza biashara kidogo kidogo ukiwa unaendelea na ajira, maendeleo ya biashara yako ndiyo yakulazimishe kuacha kazi, labda kama biashara hiyo ulishaifanya unaijua.