Kwanza nataka kukupa pongezi kama rais wangu ambaye kwa Mtazamo wangu Mungu alikuinua wakati muafaka wakati Tanzania ililikuwa tayari mikononi mwa Cartels/ Majambazi wa KIUCHUMI.
Tangu uingie madarakani HAMNA mtu ambaye hajaona effects za JUHUDI zako. Kando ya WACHACHE ambao walikuwa wamezoea kula vya bwerere/easily found through dubious ways/ Njia zisizo halali!
Juhudi zako ziko wazi. Hata hivyo do not take that for granted!
Pamoja na hizo POSITIVE achievements zako ningependa kUKUPA ushauri.
Kwanza by DESIGN mimi SISITAHILI kuwa mshauri wako maana mimi ni mwananchi wa kawaida tu na wewe kama rais WANGU una washauri wa kutosha kiasi kwamba unaweza kuchukuwa ushauri wangu NEGATIVELY ama POSITIVELY. Maana una uamuzi wa mwisho.
Moja ya tabia yako ninayoipenda ni kuwa wewe si mtu ASIYESHAURIKA na wala kuweka mambo moyoni mwako siku zote milele. Having been a SEMINARIAN and a devout Christitian una moyo wa KUSAMEHE,, hilo ndo lanipa UJASIRI kukukushauri.
1. Jaribu kuwakumbuka WOTE WALIOKUSAIDIA kufikA MAHALI ulipo sasa WAKATI WA kampeni zako.
2. Kuna Makada wa CCM waliposikia MAGUFULI ndo mbeba bendera wa CCM they worked so HARD ili uwe RAIS.
Si kwamba walikuwa flawless/ wasiokuwa na MAPUNGUFU bali walisahau upungufu waliokuwa nao wakaweka juhudi zao WAKISAIDIE CHAMA/NA WEWE uwe rais.
3. Ushauri wangu ni kuwa hawa watu USIWASAHAU na KUWATUPA.
KUMBUKA wengi WAO WANAIJUA mikakakati na mbinu za CCM kwa ndani sana.
Hivyo KUWATUPA kutakupa changamoto kubwa sana ifikapo 2020 na si GUARANTEE uchukuwe muhula wa pili.MAANA SIASA duniani sasa ZINABADILIKA.
Kindly MAINTAIN FRIENDSHIPS.It Pays.!!!
Ni Rahisi sana mtu kukuambia achana nao.Bila wao kujua madhara yake na kuwa hawa watu wana SIRI nyingi na MBINU nyingi za CCM. The BEST way kama hawahusika na UFISADI CHUKULIANA NAO.
KAMA VILE MWALIMU Nyrere angemwacha mtu nje kama WAZIRI kwa mwaka mmoja na BAADAYE angempa WIZARA ama kazi nzuri tu.
. Si kwamba hao jamaa walikuwa WAKAMILIFU bali ni HEKIMA ya Nyerere aliyokuwa nayo katika kubalance kati ya kuwa TECHNOCRAT na kuwa MWANASIASA. That is why he succeeded
USIPO BALANCE haya basi 2020 itakuwa ni vigumu sana kwako.
Nasema hivi kwa sababu kuna WANAFIKI WENGI wanaokusifu kwa midomo yao lakini mioyoni MWAO wako mbali nawe. Sisi tulio nje tunaona.!!!
Wataalamu wa kisiasa husema SIASA ni DYNAMIC. One week in Politics is long enough . Anything CAN HAPPPEN/CHANGE
Kuna wakati MWINGINE KATIKA MAMBO YA KISIASA inabidi UFUNGE MACHO ili upenye. Lakini mtu akisema "SITAKI mtu ANIFUNDISHE"
Then the outcome becomes worse than anticipated.
NB: KUMBUKA kuna MAKADA wa CCM waliolalal MSITUNI wakikufanyia kampeni ili USHINDE.
HONESTLY speaking you might need them. Hivyo basi vikosa vingine vidogo vidogo USIKUBALI vikutenganishe nao.
KUMBUKA 2020 SI mbali sana unaweza UKAWAHITAJI!!!
Tangu uingie madarakani HAMNA mtu ambaye hajaona effects za JUHUDI zako. Kando ya WACHACHE ambao walikuwa wamezoea kula vya bwerere/easily found through dubious ways/ Njia zisizo halali!
Juhudi zako ziko wazi. Hata hivyo do not take that for granted!
Pamoja na hizo POSITIVE achievements zako ningependa kUKUPA ushauri.
Kwanza by DESIGN mimi SISITAHILI kuwa mshauri wako maana mimi ni mwananchi wa kawaida tu na wewe kama rais WANGU una washauri wa kutosha kiasi kwamba unaweza kuchukuwa ushauri wangu NEGATIVELY ama POSITIVELY. Maana una uamuzi wa mwisho.
Moja ya tabia yako ninayoipenda ni kuwa wewe si mtu ASIYESHAURIKA na wala kuweka mambo moyoni mwako siku zote milele. Having been a SEMINARIAN and a devout Christitian una moyo wa KUSAMEHE,, hilo ndo lanipa UJASIRI kukukushauri.
1. Jaribu kuwakumbuka WOTE WALIOKUSAIDIA kufikA MAHALI ulipo sasa WAKATI WA kampeni zako.
2. Kuna Makada wa CCM waliposikia MAGUFULI ndo mbeba bendera wa CCM they worked so HARD ili uwe RAIS.
Si kwamba walikuwa flawless/ wasiokuwa na MAPUNGUFU bali walisahau upungufu waliokuwa nao wakaweka juhudi zao WAKISAIDIE CHAMA/NA WEWE uwe rais.
3. Ushauri wangu ni kuwa hawa watu USIWASAHAU na KUWATUPA.
KUMBUKA wengi WAO WANAIJUA mikakakati na mbinu za CCM kwa ndani sana.
Hivyo KUWATUPA kutakupa changamoto kubwa sana ifikapo 2020 na si GUARANTEE uchukuwe muhula wa pili.MAANA SIASA duniani sasa ZINABADILIKA.
Kindly MAINTAIN FRIENDSHIPS.It Pays.!!!
Ni Rahisi sana mtu kukuambia achana nao.Bila wao kujua madhara yake na kuwa hawa watu wana SIRI nyingi na MBINU nyingi za CCM. The BEST way kama hawahusika na UFISADI CHUKULIANA NAO.
KAMA VILE MWALIMU Nyrere angemwacha mtu nje kama WAZIRI kwa mwaka mmoja na BAADAYE angempa WIZARA ama kazi nzuri tu.
. Si kwamba hao jamaa walikuwa WAKAMILIFU bali ni HEKIMA ya Nyerere aliyokuwa nayo katika kubalance kati ya kuwa TECHNOCRAT na kuwa MWANASIASA. That is why he succeeded
USIPO BALANCE haya basi 2020 itakuwa ni vigumu sana kwako.
Nasema hivi kwa sababu kuna WANAFIKI WENGI wanaokusifu kwa midomo yao lakini mioyoni MWAO wako mbali nawe. Sisi tulio nje tunaona.!!!
Wataalamu wa kisiasa husema SIASA ni DYNAMIC. One week in Politics is long enough . Anything CAN HAPPPEN/CHANGE
Kuna wakati MWINGINE KATIKA MAMBO YA KISIASA inabidi UFUNGE MACHO ili upenye. Lakini mtu akisema "SITAKI mtu ANIFUNDISHE"
Then the outcome becomes worse than anticipated.
NB: KUMBUKA kuna MAKADA wa CCM waliolalal MSITUNI wakikufanyia kampeni ili USHINDE.
HONESTLY speaking you might need them. Hivyo basi vikosa vingine vidogo vidogo USIKUBALI vikutenganishe nao.
KUMBUKA 2020 SI mbali sana unaweza UKAWAHITAJI!!!