Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,110
- 3,269
Nilimleta mdogo wangu wa kike toka kijijini ili ajifunze masuala ya ufundi veta. Sasa mfanyakazi mwenzangu ambaye ni jirani yangu pia kamtia mimba wakati tayari ameshaoa na watoto wawili. Nahisi kuchanganyikiwa kwakweli. Naamini nitapata ushauri mzuri hupa.