EL+RA=UFISADI
Member
- Jul 4, 2010
- 56
- 6
Serikali imeamua kumtoa Tido Mhando kama director-general wa Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) kama adhabu kwake kutokana na kuruhusu midahalo ya wagombea Ubunge na Urais wa vyama vya upinzani iendelee TBC baada ya CCM kujitoa yenyewe.
Eti kina Makamba wa CCM wanamlaumu Tido kuwa alitoa airtime kubwa kwa wagombea wa upinzani na kuifanya CCM ipoteze viti vingi vya ubunge na kura za Urais.
Tido alisimama kidete na kusema kuwa lazima midahalo itaendelea pamoja na CCM kuamua kujitoa wao wenyewe.
Kwa kipindi alichokuwepo TBC, Tido ameleta mabadiliko makubwa na mafanikio ya hali ya juu kwenye TV na radio ya serikali. Tido ameleta a broadcasting revolution kutokana na professionalism ya kazi ya uandishi aliyosimamia na aina ya utangazaji wa habari na vipindi vingine. Amefanya TV zote kubwa ziige mfano wa TBC. Kwa ubunifu wake, waandishi wote mahiri wa broadcasting wamehama kutoka private sector kwenda TBC.
ITV imekuwa ikiongozwa vizuri na MD wake Joyce Mhaville. ITV inasemekana kuwa imekuwa ni chombo pekee ndani ya IPP Media ambacho kinaendeshwa kifanisi na kibiashara chini ya uongozi wa Mhaville.
Hata hivyo, chochote kizuri hakikosi kasoro. Wakati Mhaville amesimamia vizuri mapato na matumizi ya ITV/Radio One, quality ya habari na vipindi imekuwa ikiporomoka kutokana na waandishi wazuri kukimbia na kubaki na sub-standard journalists.
Mhaville anajua kusimamia vizuri mapato na matumizi ya kampuni, lakini wafanyakazi wa ITV/Radio One wanasema ni mtu mgumu sana kufanya naye kazi kutokana na attitude yake na PR yake na watu.
Kwa msingi huo, wakati ITV/Radio One zimestawi kifedha na kuwa na mitambo ya kisasa chini ya uongozi wa Mhaville, vyombo hivi vimekuwa vikidumaa professionally.
Unfortunately, hivi sasa ITV/Radio One is in serious decline in terms of the quality of news bulettins, programmes, viewership, etc kutokana na kuwa na waandishi ambao si professional na wenye low morale.
Solution hapa ni kwa Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, kumuajiri Tido Mhando kama MD mpya wa ITV/Radio One ili alete mapinduzi yale aliyoyapeleka TBC.
Mengi ampe promotion Mhaville ya mshahara na title na kumfanya chairperson wa IPP Media, mwenye kazi ya overall supervision ya media zote za IPP akitilia mkazo The Guardian Limited ambayo ina matatizo makubwa ya uongozi, kifedha, professionalism na mengineyo.
Tido Mhando akipewa free hand kuiendeleza ITV/Radio One, anaweza kuleta mapinduzi makubwa sana, haswa ukizingatia sasa tunaelekea kuungana zaidi chini ya East African Community (EAC).
Serikali ina lengo la kumuweka mtu kama Clement Mshana wa Maelezo kuwa DG mpya wa TBC ambaye atakuwa pro-CCM, pro-government and anti-opposition. Matokeo yake ni kuwa watazamaji wataikimbia TBC kwa mamilioni na kuhamia private TV stations. Huu ndiyo wakati wa kuwakamata watazamaji na MD mbunifu kama Tido.
But, Mengi has to act fast, nasikia Edward Lowassa anataka kumuajiri Tido kwenye TV yake huko Arusha.
Eti kina Makamba wa CCM wanamlaumu Tido kuwa alitoa airtime kubwa kwa wagombea wa upinzani na kuifanya CCM ipoteze viti vingi vya ubunge na kura za Urais.
Tido alisimama kidete na kusema kuwa lazima midahalo itaendelea pamoja na CCM kuamua kujitoa wao wenyewe.
Kwa kipindi alichokuwepo TBC, Tido ameleta mabadiliko makubwa na mafanikio ya hali ya juu kwenye TV na radio ya serikali. Tido ameleta a broadcasting revolution kutokana na professionalism ya kazi ya uandishi aliyosimamia na aina ya utangazaji wa habari na vipindi vingine. Amefanya TV zote kubwa ziige mfano wa TBC. Kwa ubunifu wake, waandishi wote mahiri wa broadcasting wamehama kutoka private sector kwenda TBC.
ITV imekuwa ikiongozwa vizuri na MD wake Joyce Mhaville. ITV inasemekana kuwa imekuwa ni chombo pekee ndani ya IPP Media ambacho kinaendeshwa kifanisi na kibiashara chini ya uongozi wa Mhaville.
Hata hivyo, chochote kizuri hakikosi kasoro. Wakati Mhaville amesimamia vizuri mapato na matumizi ya ITV/Radio One, quality ya habari na vipindi imekuwa ikiporomoka kutokana na waandishi wazuri kukimbia na kubaki na sub-standard journalists.
Mhaville anajua kusimamia vizuri mapato na matumizi ya kampuni, lakini wafanyakazi wa ITV/Radio One wanasema ni mtu mgumu sana kufanya naye kazi kutokana na attitude yake na PR yake na watu.
Kwa msingi huo, wakati ITV/Radio One zimestawi kifedha na kuwa na mitambo ya kisasa chini ya uongozi wa Mhaville, vyombo hivi vimekuwa vikidumaa professionally.
Unfortunately, hivi sasa ITV/Radio One is in serious decline in terms of the quality of news bulettins, programmes, viewership, etc kutokana na kuwa na waandishi ambao si professional na wenye low morale.
Solution hapa ni kwa Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, kumuajiri Tido Mhando kama MD mpya wa ITV/Radio One ili alete mapinduzi yale aliyoyapeleka TBC.
Mengi ampe promotion Mhaville ya mshahara na title na kumfanya chairperson wa IPP Media, mwenye kazi ya overall supervision ya media zote za IPP akitilia mkazo The Guardian Limited ambayo ina matatizo makubwa ya uongozi, kifedha, professionalism na mengineyo.
Tido Mhando akipewa free hand kuiendeleza ITV/Radio One, anaweza kuleta mapinduzi makubwa sana, haswa ukizingatia sasa tunaelekea kuungana zaidi chini ya East African Community (EAC).
Serikali ina lengo la kumuweka mtu kama Clement Mshana wa Maelezo kuwa DG mpya wa TBC ambaye atakuwa pro-CCM, pro-government and anti-opposition. Matokeo yake ni kuwa watazamaji wataikimbia TBC kwa mamilioni na kuhamia private TV stations. Huu ndiyo wakati wa kuwakamata watazamaji na MD mbunifu kama Tido.
But, Mengi has to act fast, nasikia Edward Lowassa anataka kumuajiri Tido kwenye TV yake huko Arusha.