Ushauri, Maoni, Mapendekezo na Pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

*Mimi nafikiri kama kuna jambo la kufanya ni watanzania kumuombea Makonda ktk njia zake na kumuomba pia Rais wa nchi Dk. John Magufuli ampe kiti/dhamanaa kubwa zaidi ya hapo alipo huyu "Paul Makonda" ili apate nguvu ya kuhudumia taifa zima akiwa kiongozi wa kitaifa. Hii ni kwa sababu, anayoyafanya Makonda si ya Mkuu wa Mkoa, kimkoa pekee, bali ni zaidi ya Mkoa.*
Naunga mkono hoja

P
 
Ila Makonda ana mazuri yake Mengi kama hilo la kusaidia watoto wenye shida ya moyo, mapungufu machache kama kijana anao muda wa kujirekebisha
 
''Makonda utalaumiwa,utatukanwa,utafokewa,utapingwa,lakini kwa hili la kushughulikia elimu,huna mpinzani''-Dr Bashiru Kakurwa Ally KM-CCM
Sijawahi ona Dr.Bashiru akisifia binafsi kiongozi wa serikali zaidi ya Makonda
 
Nasema hakuna, ni sawa na mama kwa mwanaye, hawezi kuyafuta mema ya mzazi wake, wala chochote juu yake.*
*Kitendo cha kumlea tangu akiwa tumboni, kumnyonyesha na kumfundisha lugha miaka miwili, akakua na kuufahamu Ulimwengu hakiwezi kufananishwa na chochote duniani.
Hata kama mama huyo atampiga na kumtusi vipi mwanaye lakini bado kosa lake haliwezi kufuta wema aliomfanyia.*

*Hivyo hivyo kwa Paul Makonda* ambaye leo hii ni Mkuu wa Mkoa, huyu amepigana vita kubwa kubwa zilizowashinda wengi, vita za Makonda ni sawa kama zile za Goliathi aliyetajwa katika Biblia, Masalakulangwa na Jing'weng'we waliotajwa katika simulizi za kale.
Makonda naye amesambaratisha makundi mbalimbali likiwemo maarufu kama kundi la Mafia la wauza madawa ya kulevya yalioangamiza vijana wa kitanzania na wengine kufungwa jela huko nje ya nchi, mfano nchini China, zaidi ya vijana takribani 200 walishitakiwa na wengine wamefungwa jela, nchini Brazil vijana wasiopungua 200 walishitakiwa na wengine wamefungwa jela, Afrika Kusini vijana wasiopungua 200 walishitakiwa kwa makosa ya biashara haramu na wengine wamefungwa jela, achilia mbali nchi nyingine na waliongamia na kushitakiwa hapa hapa nchini kwa sababu ya biashara hii haramu.

Jana, vyombo vya habari vimeripoti kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amesaidia watoto 60, wanaotoka familia masikini ktk Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI).
Mkurugenzi mwendeshaji katika kitengo cha Moyo Profesa Mohamed Janabi amesema mapaka sasa watoto 30 kati ya 60 wamefanyiwa upasuaji ndani ya miezi mitatu na kadiri siku zinavyokwenda imeripotiwa kwamba, hadi sasa kuna zaidi ya watoto 500 wenye tatizo la moyo lakini wazazi hawana uwezo wa kumudu gharama za matibabu.
Pamoja na ripoti hiyo ya taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete imemshukuru Mkuu wa Mkoa Paul Makonda kwa kuwajali watoto hao ambao anawalipia kila awamu watoto kumi 10.

Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ameishukuru taasisi hiyo ya Moyo ya Jakaya Kikwete na vile vile ameishukuru Wizara ya Afya chini ya Waziri Mhe. Ummy Mwalimu kupitia Serikali chini ya Uongozi wa Rais Dk. Magufuli kwa fedha zinazotolewa na serikali kwa ajili ya matibabu kama hayo na kuongeza kuwa, anamshukuru Balozi wa Jumuiya wa Falme za Kiarabu kwa kumuunga mkono na kwa kuleta Madaktari Bingwa kutoka nje ya Nchi ili kuja kufanya upasuaji wa watoto hao wanaotoka familia duni za kimasikani.
Sambamba na hilo, Mkuu wa Mkoa Ndg. Paul Makonda amesema kwamba, mwezi wa 11 hadi wa 12 mwaka huu utakuwa mwezi wa kushukuru wananchi wa Dar es Salaam kwa namna wanavyotoa ushirikiano mbalimbali kwa serikali katika mkoa. Lengo kuu la tukio hilo ni kufanikisha upatikanaji wa fedha bilioni moja itakayokusanywa kutoka taasisi za kibenki, makampuni na wadau mbalimbali ili fedha hizo zikagharimie matibabu ya watoto hao.
Lakini pia, ameongeza kuwa, anatamani sana kuona watoto hao wanafurahi pamoja na jamii katika siku kuu mbalimbali zinazowakutanisha watu na kufurahi.

Akiongea mbele ya waandishi wa habari, Makonda alikusia juu ya maswali mbalimbali yanayoulizwa na baadhi ya watu wanaohoji ni wapi Mkuu Makonda anapata fedha za kugharamia matibabu ya watoto na misaada mbalimbali anayoitoa kwa wahitaji/watu masikini?
*RC. Makonda amesema ya kwamba, "Nchi hii ni tajiri na watu wa nchi hii ni matajiri, wanachohitaji ni mtu mwaminifu, mwadilifu anayeomba fedha kwa matumizi sahihi."*

*Sasa nauliza, Mungu awape nini watanzania ikiwa vijana kama huyu Makonda wanafanya mambo makubwa ya kitume katika taifa hili?*
*Kuna kosa gani laweza kufuta wema anaoufanya Paul Makonda kwa watanzania?*
*Mimi nafikiri kama kuna jambo la kufanya ni watanzania kumuombea Makonda ktk njia zake na kumuomba pia Rais wa nchi Dk. John Magufuli ampe kiti/dhamanaa kubwa zaidi ya hapo alipo huyu "Paul Makonda" ili apate nguvu ya kuhudumia taifa zima akiwa kiongozi wa kitaifa. Hii ni kwa sababu, anayoyafanya Makonda si ya Mkuu wa Mkoa, kimkoa pekee, bali ni zaidi ya Mkoa.*

*Tumepata Rais mzuri, na tunapata vijana wazuri sana katika taifa letu, ni muhimu sana kuwashikilia kwa mikono miwili maana bahati haiji mara mbili mbili.*
Asante mkuu kwa hoja yako tukufu juu ya mkuu wetu wa mkoa Mh. Paul Makonda.

Ilibaki kidogo nikupigie makofi ya kukushukuru kwa jitihada zako za kutoa maelezo matam ya kumpa sifa RC wetu Mh. Paul Makonda. Baada ya kuingalia kiundani ikabidi nisitishe ghafla tendo hilo.

Kwa mtazamo wangu nafikiri kuna kitu kimoja kikubwa sana kina kosekana katika hoja yako uliyo tuletea. Umesahau au umekosa kutambua au kutathmini kuwa Mh. Makonda kama RC anawajibu gani katika Mkoa wake.

RC Makonda kwa vile ana mwakilisha Rais wa Tanzania katika mkoa wetu basi itambulike kuwa yeye ni Rais wa mkoa wetu. Mambo yote yanayotendeka katika mkoa huu yakiwemo mambo ya kimaendeleo na usaalama yeye ndiyo commander in chief kama ilivyo kwa Rais Magufuli kwenye nchi.

Kwa hiyo mkuu ukiondoa hiyo mada inayo husu madawa ya kulevya hayo mengine yote uliyo ya eleza juu ya engagement yake katika kutafuta pesa kwa ajili ya matibabu ya watoto masikini wenye matatizo ya moyo na kadhalika hiyo ni charity work. Naomba ieleweke kuwa Charity Work ni party ya maisha yake kama mtawala lakini sio ya kuipa kipao mbele kikubwa sana, kwani kuna wizara na idara zinazo husika. Kipao mbele chake kikubwa kiwe kwenye maendeleo ya kimkakati ya mkoa wake.

Nachotaka kukuambia hapa ni kuwa RC Makonda anajukunu kubwa sana katika mkoa huu mbali na charity work. Huu mkoa una wakazi wengi sana kuliko mkoa wowote mwingine nchini, zaidi ya hayo huu mkoa ni Gateway la kutuunganisha sisi na Outside world. Kwa hali hiyo nguvu kubwa inatakiwa itumike kuufanya huu mkoa kama jiji kuwa dynamic.

Ukiangalia uwingi wa idadi ya wakazi wa huu mkoa ambao mpaka hivi sasa wako na wale ambao kila siku wanaongezeka kutoka mikoani na vijijini na hata nchi nyingine za ulimwengu, utaona kuwa the dynamism au kasi ya utekelezaji wa mipango na miradi mingi ya maendeleo ili kukidhi mahitaji na matakwa ya wakazi wa huu mkoa, haiendani, ni ndogo mno.

Charity activities za mkuu wa mkoa kwa uzito wa majukumu wa huu mkoa naona ni kaji tone tu cha maji kwenye mawe mengi kubwa,
ukilinganisha na speed la ongezeko la watu. Huu mkoa unahitaji nguvu kubwa sana ambayo mimi bado sijaiona kutoka kwa Mh. Makonda. Anahangaika na vitu ambavyo, ndiyo kwa upande mmoja unaweza sema kwamba ni muhimu, lakini sio kihivyo.

Ikumbukwe tu kuwa Dar es salaam hivi sasa kulingana na takwimu nilizo nazo kwa wastani ina wakazi wapatao zaidi ya milioni 5, mpaka kufikia 2030 tunaweza tukafika milioni 10. Je, tuna nini ambacho tumejiandaa mpaka sasa? Wakati mitaani vijana wasomi na wasio wasomi wamejaa kibao wakiwa hawana ajira.

Sikatai vipaji vyake vya kuwa attractive na talkative kwa watu na hasa vijana, wakina mama na wasanii, lakini hata hivyo ana ukosefu mkubwa wa Vision na innovation drive kama ya Rais Magufuli.

Kama ushauri wangu tu kwake na kwa wote wanao husika, Makonda anatakiwa ajishughulishe zaidi na maadalizi ya vijana wenye talents tofauti ambao ni potential ya watoa ajira ya leo na kesho kwa vijana wenzao kwa kuwa kusanya hao vijana wenye hizo talents na kuwajengea facilities na funds ambazo zita wawezesha ku improve hivyo vipaji vyao na kuona jinsi gani wanavyoweza kuusaidia mko wetu kiajira kwa vijana.
Mfano talent ya huyu kijana Moses Mbaga ambaye ameweza kutengeneza App yake;

Makonda anatakiwa katika kuwa hamasisha vijana hao wenye vipaji vya pekee kushirikiana na walimu, maprofessor, mawaziri na Rais mwenyewe.

Makonda anatakiwa ashirikiane na timu yake ya wataalam kutafuta na kubuni miradi midogo midogo na mikubwa ya maendeleo ambayo itawawezesha wananchi kutengeneza na kupata ajira. Asijikite sana na upande mmoja tu wa kukusanya pesa kwa ajili ya charity work na wasanii peke yake.

Kitu kingine ambacho ningependa kumshauri ni usimamizi wa miradi. Asipende sana kutumia njia za zamani ambazo hazija leta mafanikio yeyote kwetu ya kusimamia kazi kwa kila mara kuitisha mikutano kama kwenye hii clip;

Rais Magufuli kipindi cha awamu ya nnewakati akiwa waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano alifanikisha miradi mingi mikubwa ya barabara kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa site na kujiona mwenyewe kitu gani kinaendelea.

Kwenye hiyo clip nasikitika kusema sijamwona akionyesha seriousness ya hilo onyo alilopewa kwa mara ya pili. Inaaminika kuwa yeye na RASI wake wamepoteza mda mwingi kuwakusanya watendaji wake kwenye kikao badala ya kuwaambia wakutane site. Hayo maandalizi da COCO Beach ameyaonabkwenye clip.

Yeye kama mkuu wa mkoa angeweza hata tumia Helikopter ya jeshi au polisi kama hana ya kwake mwenyewe, I mean ya mkoa, kurash kwenye hiyo sites za miradi mbali mbali badala ya kuitisha kikao na kupiga siasa za kuunda tume da usimamizi. Anaunda tume leo? Hilo alitakiwa alifanye mwezi wa tatu wakati alipo kutana nao na kuwapa maagizo.

Mkuu wa mko wa jiji hili kulingana na uzito na ukubwa wa majukumu anatakiwa permanently awe angani na helikopta kuangalia na kusimamia miradi mbali mbali inayo fanyika jijini. Haya mambo ya kwenda kuji show off kwenye matukio ya matatizo kama ya mafuriko na kadhalika na hatimaye hakuna kitu kinacho endelea baadae cha kutatua tatizo lisitokee tena, haina tija kubwa kwa wana Dar es salaam na imepitwa na wakati.

Hali hii ikiendelea hivi hivi, nakataa katakata kama itaweza kuwa na mafanikio chanya siku moja. Watanzania hasa wabongo tuna mind sana starehe za hanatha kuliko kuumiza vichwa katika kufanya kazi za maendeleo yetu. Tunataka pesa za haraka haraka ili tuende kwenye vimada vyetu na mkubali kusifia maendeleo ya wenzetu!
 
Asante mkuu kwa hoja yako tukufu juu ya mkuu wetu wa mkoa Mh. Paul Makonda.

Ilibaki kidogo nikupigie makofi ya kukushukuru kwa jitihada zako za kutoa maelezo matam ya kumpa sifa RC wetu Mh. Paul Makonda. Baada ya kuingalia kiundani ikabidi nisitishe ghafla tendo hilo.

Kwa mtazamo wangu nafikiri kuna kitu kimoja kikubwa sana kina kosekana katika hoja yako uliyo tuletea. Umesahau au umekosa kutambua au kutathmini kuwa Mh. Makonda kama RC anawajibu gani katika Mkoa wake.

RC Makonda kwa vile ana mwakilisha Rais wa Tanzania katika mkoa wetu basi itambulike kuwa yeye ni Rais wa mkoa wetu. Mambo yote yanayotendeka katika mkoa huu yakiwemo mambo ya kimaendeleo na usaalama yeye ndiyo commander in chief kama ilivyo kwa Rais Magufuli kwenye nchi.

Kwa hiyo mkuu ukiondoa hiyo mada inayo husu madawa ya kulevya hayo mengine yote uliyo ya eleza juu ya engagement yake katika kutafuta pesa kwa ajili ya matibabu ya watoto masikini wenye matatizo ya moyo na kadhalika hiyo ni charity work. Naomba ieleweke kuwa Charity Work ni party ya maisha yake kama mtawala lakini sio ya kuipa kipao mbele kikubwa sana, kwani kuna wizara na idara zinazo husika. Kipao mbele chake kikubwa kiwe kwenye maendeleo ya kimkakati ya mkoa wake.

Nachotaka kukuambia hapa ni kuwa RC Makonda anajukunu kubwa sana katika mkoa huu mbali na charity work. Huu mkoa una wakazi wengi sana kuliko mkoa wowote mwingine nchini, zaidi ya hayo huu mkoa ni Gateway la kutuunganisha sisi na Outside world. Kwa hali hiyo nguvu kubwa inatakiwa itumike kuufanya huu mkoa kama jiji kuwa dynamic.

Ukiangalia uwingi wa idadi ya wakazi wa huu mkoa ambao mpaka hivi sasa wako na wale ambao kila siku wanaongezeka kutoka mikoani na vijijini na hata nchi nyingine za ulimwengu, utaona kuwa the dynamism au kasi ya utekelezaji wa mipango na miradi mingi ya maendeleo ili kukidhi mahitaji na matakwa ya wakazi wa huu mkoa, haiendani, ni ndogo mno.

Charity activities za mkuu wa mkoa kwa uzito wa majukumu wa huu mkoa naona ni kaji tone tu cha maji kwenye mawe mengi kubwa,
ukilinganisha na speed la ongezeko la watu. Huu mkoa unahitaji nguvu kubwa sana ambayo mimi bado sijaiona kutoka kwa Mh. Makonda. Anahangaika na vitu ambavyo, ndiyo kwa upande mmoja unaweza sema kwamba ni muhimu, lakini sio kihivyo.

Ikumbukwe tu kuwa Dar es salaam hivi sasa kulingana na takwimu nilizo nazo kwa wastani ina wakazi wapatao zaidi ya milioni 5, mpaka kufikia 2030 tunaweza tukafika milioni 10. Je, tuna nini ambacho tumujiandaa mpaka sasa? Wakati mitaani vijana wasomi na wasio wasomi wamejaa kibao wikiwa hawana ajira.

Sikatai vipaji vyake vya kuwa attractive na talkative kwa watu na hasa vijana, wakina mama na wasanii, lakini hata hivyo ana ukosefu mkubwa wa Vision na innovation drive kama ya Rais Magufuli.

Kama ushauri wangu tu kwake na kwa wote wanao husika, Makonda anatakiwa ajishughulishe zaidi na maadalizi ya vijana wenye talents tofauti ambao ni potential ya watoa ajira ya leo na kesho kwa vijana wenzao kwa kuwa kusanya hao vijana wenye hizo talents na kuwajengea facilities na funds ambazo zita wawezesha ku improve hivyo vipaji vyao na kuona jinsi gani wanavyoweza kuusaidia mko wetu kiajira kwa vijana.
Mfano talent ya huyu kijana Moses Mbaga ambaye ameweza kutengeneza App yake;

Makonda anatakiwa katika kuwa hamasisha vijana hao wenye vipaji vya pekee kushirikiana na walimu, maprofessor, mawaziri na Rais mwenyewe.

Makonda anatakiwa ashirikiane na timu yake ya wataalam kutafuta na kubuni miradi midogo midogo na mikubwa ya maendeleo ambayo itawawezesha wananchi kutengeneza na kupata ajira. Asijikite sana na upande mmoja tu wa kukusanya pesa kwa ajili ya charity work na wasanii peke yake.

Kitu kingine ambacho ningependa kumshauri ni usimamizi wa miradi. Asipende sana kutumia njia za zamani ambazo hazija leta mafanikio yeyote kwetu ya kusimamia kazi kwa kila mara kuitisha mikutano kama kwenye hii clip;

Rais Magufuli kipindi cha awamu ya nnewakati akiwa waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano alifanikisha miradi mingi mikubwa ya barabara kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa site na kujiona mwenyewe kitu gani kinaendelea.

Kwenye hiyo clip nasikitika kusema sijamwona akionyesha seriousness ya hilo onyo alilopewa kwa mara ya pili. Inaaminika kuwa yeye na RASI wake wamepoteza mda mwingi kuwakusanya watendaji wake kwenye kikao badala ya kuwaambia wakutane site. Hayo maandalizi da COCO Beach ameyaonabkwenye clip.

Yeye kama mkuu wa mkoa angeweza hata tumia Helikopter ya jeshi au polisi kama hana ya kwake mwenyewe, I mean ya mkoa, kurash kwenye hiyo sites za miradi mbali mbali badala ya kuitisha kikao na kupiga siasa za kuunda tume da usimamizi. Anaunda tume leo? Hilo alitakiwa alifanye mwezi wa tatu wakati alipo kutana nao na kuwapa maagizo.

Mkuu wa mko wa jiji hili kulingana na uzito na ukubwa wa majukumu anatakiwa permanently awe angani na helikopta kuangalia na kusimamia miradi mbali mbali inayo fanyika jijini. Haya mambo ya kwenda kuji show off kwenye matukio ya matatizo kama ya mafuriko na kadhalika na hatimaye hakuna kitu kinacho endelea baadae cha kutatua tatizo lisitokee tena, haina tija kubwa kwa wana Dar es salaam na imepitwa na wakati.

Hali hii ikiendelea hivi hivi, nakataa katakata kama itaweza kuwa na mafanikio chanya siku moja. Watanzania hasa wabongo tuna mind sana starehe za hanatha kuliko kuumiza vichwa katika kufanya kazi za maendeleo yetu. Tunataka pesa za haraka haraka ili tuende kwenye vimada vyetu na mkubali kusifia maendeleo ya wenzetu!

Umetoa ushauri murwa kabisa tatizo ni kama Bashite atazingatia.
 
Umetoa ushauri murwa kabisa tatizo ni kama Bashite atazingatia.
Asante mkuu. Hilo atalijibu mwenyewe Makonda. Rais Magufuli amesha sema "mesaage sent and delivered". Kitakacho mtokea next asimlaumu mtu.

Nafikiri bado haja realize umuhimu wa kuwa mkuu wa mkoa wa jiji kama jili la Dar es salaam.
 
Asante mkuu kwa hoja yako tukufu juu ya mkuu wetu wa mkoa Mh. Paul Makonda.

Ilibaki kidogo nikupigie makofi ya kukushukuru kwa jitihada zako za kutoa maelezo matam ya kumpa sifa RC wetu Mh. Paul Makonda. Baada ya kuingalia kiundani ikabidi nisitishe ghafla tendo hilo.

Kwa mtazamo wangu nafikiri kuna kitu kimoja kikubwa sana kina kosekana katika hoja yako uliyo tuletea. Umesahau au umekosa kutambua au kutathmini kuwa Mh. Makonda kama RC anawajibu gani katika Mkoa wake.

RC Makonda kwa vile ana mwakilisha Rais wa Tanzania katika mkoa wetu basi itambulike kuwa yeye ni Rais wa mkoa wetu. Mambo yote yanayotendeka katika mkoa huu yakiwemo mambo ya kimaendeleo na usaalama yeye ndiyo commander in chief kama ilivyo kwa Rais Magufuli kwenye nchi.

Kwa hiyo mkuu ukiondoa hiyo mada inayo husu madawa ya kulevya hayo mengine yote uliyo ya eleza juu ya engagement yake katika kutafuta pesa kwa ajili ya matibabu ya watoto masikini wenye matatizo ya moyo na kadhalika hiyo ni charity work. Naomba ieleweke kuwa Charity Work ni party ya maisha yake kama mtawala lakini sio ya kuipa kipao mbele kikubwa sana, kwani kuna wizara na idara zinazo husika. Kipao mbele chake kikubwa kiwe kwenye maendeleo ya kimkakati ya mkoa wake.

Nachotaka kukuambia hapa ni kuwa RC Makonda anajukunu kubwa sana katika mkoa huu mbali na charity work. Huu mkoa una wakazi wengi sana kuliko mkoa wowote mwingine nchini, zaidi ya hayo huu mkoa ni Gateway la kutuunganisha sisi na Outside world. Kwa hali hiyo nguvu kubwa inatakiwa itumike kuufanya huu mkoa kama jiji kuwa dynamic.

Ukiangalia uwingi wa idadi ya wakazi wa huu mkoa ambao mpaka hivi sasa wako na wale ambao kila siku wanaongezeka kutoka mikoani na vijijini na hata nchi nyingine za ulimwengu, utaona kuwa the dynamism au kasi ya utekelezaji wa mipango na miradi mingi ya maendeleo ili kukidhi mahitaji na matakwa ya wakazi wa huu mkoa, haiendani, ni ndogo mno.

Charity activities za mkuu wa mkoa kwa uzito wa majukumu wa huu mkoa naona ni kaji tone tu cha maji kwenye mawe mengi kubwa,
ukilinganisha na speed la ongezeko la watu. Huu mkoa unahitaji nguvu kubwa sana ambayo mimi bado sijaiona kutoka kwa Mh. Makonda. Anahangaika na vitu ambavyo, ndiyo kwa upande mmoja unaweza sema kwamba ni muhimu, lakini sio kihivyo.

Ikumbukwe tu kuwa Dar es salaam hivi sasa kulingana na takwimu nilizo nazo kwa wastani ina wakazi wapatao zaidi ya milioni 5, mpaka kufikia 2030 tunaweza tukafika milioni 10. Je, tuna nini ambacho tumejiandaa mpaka sasa? Wakati mitaani vijana wasomi na wasio wasomi wamejaa kibao wakiwa hawana ajira.

Sikatai vipaji vyake vya kuwa attractive na talkative kwa watu na hasa vijana, wakina mama na wasanii, lakini hata hivyo ana ukosefu mkubwa wa Vision na innovation drive kama ya Rais Magufuli.

Kama ushauri wangu tu kwake na kwa wote wanao husika, Makonda anatakiwa ajishughulishe zaidi na maadalizi ya vijana wenye talents tofauti ambao ni potential ya watoa ajira ya leo na kesho kwa vijana wenzao kwa kuwa kusanya hao vijana wenye hizo talents na kuwajengea facilities na funds ambazo zita wawezesha ku improve hivyo vipaji vyao na kuona jinsi gani wanavyoweza kuusaidia mko wetu kiajira kwa vijana.
Mfano talent ya huyu kijana Moses Mbaga ambaye ameweza kutengeneza App yake;

Makonda anatakiwa katika kuwa hamasisha vijana hao wenye vipaji vya pekee kushirikiana na walimu, maprofessor, mawaziri na Rais mwenyewe.

Makonda anatakiwa ashirikiane na timu yake ya wataalam kutafuta na kubuni miradi midogo midogo na mikubwa ya maendeleo ambayo itawawezesha wananchi kutengeneza na kupata ajira. Asijikite sana na upande mmoja tu wa kukusanya pesa kwa ajili ya charity work na wasanii peke yake.

Kitu kingine ambacho ningependa kumshauri ni usimamizi wa miradi. Asipende sana kutumia njia za zamani ambazo hazija leta mafanikio yeyote kwetu ya kusimamia kazi kwa kila mara kuitisha mikutano kama kwenye hii clip;

Rais Magufuli kipindi cha awamu ya nnewakati akiwa waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano alifanikisha miradi mingi mikubwa ya barabara kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa site na kujiona mwenyewe kitu gani kinaendelea.

Kwenye hiyo clip nasikitika kusema sijamwona akionyesha seriousness ya hilo onyo alilopewa kwa mara ya pili. Inaaminika kuwa yeye na RASI wake wamepoteza mda mwingi kuwakusanya watendaji wake kwenye kikao badala ya kuwaambia wakutane site. Hayo maandalizi da COCO Beach ameyaonabkwenye clip.

Yeye kama mkuu wa mkoa angeweza hata tumia Helikopter ya jeshi au polisi kama hana ya kwake mwenyewe, I mean ya mkoa, kurash kwenye hiyo sites za miradi mbali mbali badala ya kuitisha kikao na kupiga siasa za kuunda tume da usimamizi. Anaunda tume leo? Hilo alitakiwa alifanye mwezi wa tatu wakati alipo kutana nao na kuwapa maagizo.

Mkuu wa mko wa jiji hili kulingana na uzito na ukubwa wa majukumu anatakiwa permanently awe angani na helikopta kuangalia na kusimamia miradi mbali mbali inayo fanyika jijini. Haya mambo ya kwenda kuji show off kwenye matukio ya matatizo kama ya mafuriko na kadhalika na hatimaye hakuna kitu kinacho endelea baadae cha kutatua tatizo lisitokee tena, haina tija kubwa kwa wana Dar es salaam na imepitwa na wakati.

Hali hii ikiendelea hivi hivi, nakataa katakata kama itaweza kuwa na mafanikio chanya siku moja. Watanzania hasa wabongo tuna mind sana starehe za hanatha kuliko kuumiza vichwa katika kufanya kazi za maendeleo yetu. Tunataka pesa za haraka haraka ili tuende kwenye vimada vyetu na mkubali kusifia maendeleo ya wenzetu!

Nashukuru kwa kutonipiga makofi.
Kwa maelezo yako, MAKONDA yumo humu na atachukua kama changamoto.
hii nchi ni yetu sote, tumsaidie huyu bwana mdogo kwenye utawala, aachana na "petty issues" ajielekeze kwenye mambo yenye maslahi na wengi mkoni.
note: amshauri baba yake kuzingatia sheria na katiba
 
Sifa ya kiongozi ni kuwa na ushirikiano kati ya sekta moja na nyingine majuzi nimemsikia akijitetea mbele ya raisi kuwa aliwa achia manispaa zijitawale kwa mujibu wa sheria kwa maelezo haya tu ilitosha kutumbuliwa maana kodi zetu zinafujwa na wahuni wachache chini ya usimamizi mbovu wa mkuu wa mkoa wa dar es salaam
Hii ina maanisha kuna maeneo ambayo makonda atakuwa anashiriki kiaina katika ulaji wa hela zetu ..Raisi hakutakiwa kuwafundisha nn cha kufanya katika miradi ya kimkakati ....
 


Kwanza ningependa kukupongeza kwa juhudi zako za kutaka kuliboresha jiji letu hili la Dar. Nimekuwa nikifuatilia juhudi zako tangu ulipokuwa mkuu wa wilaya ya Kinondoni. Naamini jitihada zako za kutaka kuboresha wilaya ya Kinondoni ndizo zilizomfanya Raisi akuongezee majukumu kutokana na kuona jinsi unavyochapa kazi.

Kwa muda sasa nimekuwa nikiona unaibuka kila siku na matamko ambayo baadhi ya matamko hayo hayajafanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa mfano suala la ombaomba. Kwa ushauri wangu kabla ya kutoa matamko naomba ufanye utafiti mdogo kwanza na kujiridhisha na kuweka mpango kazi wa namna ya kutatua tatizo kabla ya na kutoa tamko kwamba hutaki jambo fulani katika mkoa wako. Kuna vita vingine hutaviweza zaidi ya kujifedhehesha.

Kwa ushauri wangu naomba uweke vipaumbele katika mambo yafuatayo.

=Kumaliza tatizo la uhaba wa vyumba vya madarasa na madawati katika shule zetu

=Kuongeza na kuboresha maabara katika shule zetu

=Kujenga maktaba katika shule na maeneo mbalimbali kwa kuanzia ngazi ya kata na kuhakikisha kunapatikana huduma za inteneti na magazeti ya kila ziku hapa unaweza kuzishirikisha kata kutenga maeneo kwa ajili ya kujengwa kwa maktaba hizo ili kuhimiza watu kujisomea na kuongeza maarifa na sio kupiga soga vibarazani na kunywa kahawa

=Kuhakikisha jiji linakuwa safi kwa kuweka sheria ndogo ndogo kali zitakazowabana wachafuzi wa mazingira na ili kulitekeleza hili unaweza kupata uzoefu kutoka kwa viongozi wa mji wa Moshi

=Kupiga marufuku mifuko ya plastiki kutumika hapa jijini na badala yake wenye viwanda hivyo kulazimishwa kuzalisha mifuko ya karatasi kwa ajili ya matumizi au kushirikiana na SIDO kuja na njia mbadala ya mifuko ya karatasi ambapo ubunifu huo unaweza kuwezesha vikundi vidogo vidogo vya vijana na kina mama..

=Kutengeneza maeneo ya vivutio kwa watalii wanaokuja katika jiji letu kwani wengi hupita tu kwa sababu hakuna vivutio. Hili unaweza kuwashirikisha wabunifu na wakandarasi wetu na kutenga maeneo ambayo yana historia na kuyaboresha kwa kiwango ambacho kitavuta wataalii wengi kutumia siku kadhaa katika jiji letu kwa mfano kama mji mkongwe wa Zanzibar, na Makumbusho ni eneo mojawapo ambalo linaweza kuboreshwea zaidi.

=Kuweka utaratibu mzuri wa boda boda, kwa sasa bodaboda pamoja na kurahisisha usafiri kwa wakazi wa Dar lakini zimekuwa ni chanzo kikuu cha ajali hapa jijini na vijana wengi wamekufa au kupoteza viungo na hivyo kutishia nguvu kazi hapa nchini. Tusipoweka utaratibu na kutoa elimu kwa waendesha bodaboda na madereva kuheshimu sheria za barabarani na kuweka sheria kali kwa watakaokiuka miaka kumi ijayo nchi hii itakuwa na ukosefu wa nguvu kazi.

=Tenga maeneo mengi kwa ajili ya vyuo vya mafunzo ya ufundi stadi na maeneo haya yakabidhiwe VETA ili vijana ambao wameshindwa kuendelea na masomo wapate fursa nyingine ya kujifunza masomo ya ufundi lakini pia ni vyema kukitengwa maeneo ya mafundi wetu kwa mfano mafundi wa magari kuwe na eneo lao, mafundi seremala wae na maeneo yao kama vile Keko, mafundi wa kuchomea vyuma wawe na maeneo yao ili wenye kuhitaji huduma hizo wawe wanajua zinapatikana wapi na kuondoa hizi vurugu mitaani

=Rejesha viwanja vya michezo vilivyovamiwa na hakikisha swala la viwanja vya michezo linapewa kipaumbele, na michezo isiwe ya aina moja, ongeza wigo wa michezo mbalimbali ili na sisi tuweze kushiriki michezo ya olimpiki.

=Mabango na matangazo yawekewe utaratibu maalum siyo kila mtu akiwa na tangazo lake anapita mitaani na kuchafua kuta za watu itungwe sheria kuondoa tatizo hilo n ahata haya makampuni ya matangazo nayo pia yawekewe utaratibu maalum kuondoa mabango mengi mitaani na kufanya jiji lisionekane nadhifu.

=Wanaohubiri usiku kucha na kelele za mziki kwenye mabaa katika makazi ya watu zipigwe marufuku na kila Pub kama watataka kupiga mziki kwa sauti ya juu basi lazima wawe na ukumbi usioruhu sauti kutoka nje.

=Njoo na njia mbadala ya kuhimiza matumizi ya baiskeli kwa wale wanaofanya kazi maeneo ya karibu na hili litafanikiwa kwa wakandarasi wetu kubuni njia ya waendeshao baiskeli ili kuepuka bughdha kwa watembeao kwa miguu. Mpango huu unaweza kuanza na zile barabara ndefu kama Tegeta mpaka Posta, Gongo la Mboto mpaka Posta, Mbagala mpaka Posta.

Mimi naamini kama ukiweka vipaumbele kwenye mambo hayo machache kati ya mengi ambayo sijayazungumzia utaacha historia katika jiji hili na utakumbukwa na vizazi vijavyo.

Unaweza kuitisha mdahalo kwa wakazi wa jiji hili ili kupitia mdahalo huo uweze kuibua mbinu mbalimbali za kuboresha jiji letu. Naamini wakaazi wa jiji hili hawafurahishwi na hali jinsi ilivyo kwa sasa na wangependa hali iwe nzuri zaidi kwa kuondoa kero nilizozitaja hapo juu, iwapo utawaalika kwenye mdahalo watakupa ushirikiano.

Nakutakia kila la kheri katika majukumu yako ya kila siku.

Ni mimi Mzee Mtambuzi.
Hapati usingizi tokea juzi anakesha kwa waganga wa kienyeji wapya walioletwa na na Le mutuz toka Africa ya kati na chad
 
Naunga mkono hoja

P
Le mutuz kapiga pesa ndefu kipindi hiki kuliko vipindi vyote kwani kamtisha Bashite kuwa safari hii anakwenda na maji ndipo Bashite kamlipa pesa Ndefu kumletea waganga wapya
 
Habari za kazi.

Pole na majukumu mazito ya mkoa wetu wa Dar es salaam, wote tunaona ni kwa namna gani unapambana na kujituma kwa dhati kuijenga Dar es salaam mpya.

Mheshimiwa Paul Makonda kwa muda sasa sisi kama wahitimu wa vyuo vikuu tuishio katika mkoa wako ambao hatujafanikiwa kupata ajira serekalini au kwenye sekta binafsi , tumekumbwa na changamoto kubwa nyingine ambayo ni umiliki wa ardhi .

Ni wazi kuwa kwa kipato tunachokipata kwa sasa hatuna uwezo wa kununua kipande cha ardhi kwa Pesa taslimu kwa mfano mil 5, 7 , 10, 15 n.k.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ni rai yetu sisi wahitimu wa vyuo vikuu kama wananchi katika mkoa wako utuandalie utaratibu wa kupata ardhi na tulipe kwa installment .

Upo uwezo wa kujipatia kipande cha ardhi kama utatuwezesha kulipa kwa installment, mheshimiwa tunafahamu fika unatujali sana wananchi wa mkoa wako, sisi wahitimu wa vyuo vikuu tunalitambua hilo.

Nafahamu fika wapo watakao dai kwanini tusiombe ajira kwanza, Mheshimiwa mkuu wa mkoa sisi wahitimu tunafahamu fika kuwa serekali inatutambua na itatukumbuka.

Wako katika ujenzi wa Taiifa

Frank Shedrack
Ilala-Dsm
0686 042 769
Pumbafu sana wewe
 

Es geht doch! So muss es sein.
Es lebe Präsident Magufuli! Es lebe RC Makonda!

It works! That's the way it has to be.
Long live President Magufuli! Long live RC Makonda!

Dar es salaam oooyeeeeeeeeeeeee!
 

Asante mkuu wetu wa mkoa. Unafanya kazi nzuri.

Ningeomba kukupa ushauri kidogo mheshimiwa wetu; Jitahidi ukiwa site kuhojiana na wataalam wa ujenzu ili kujua nini kinaendelea, japo kuwa najua basic yako ya kisayansi ni ndogo hata hivyo kabla hujaenda site mwambie mtaalam wako wa kitengo cha utaalam wa mkoa akuandae kidogo mambo ya kuuliza kama mkuu wa mkoa wa Tabora Mh. Mwanri na waziri wa Temisemi Mh. Suleiman Jafo wanavyo fanya.

Usipende sana kujionyesha kama figure isyoelewaka ukiwa site na kila wakati kumsifu Rais Magufuli. Kuwa wewe mwenyewe kama mtu unaye penda kujua nini unataka na kujiamini.

Usipende sana kila wakati kutumia neno Rais Magufuli na kumfanya yeye kama ni mungu. No, tumia sana serikali china uongozi wa ... ili kutuonyesha sisi kuwa na wewe pia ni party ya hiyo serikali.

Rais Magufuli asikupe shida yeye kazi zako ataziona na kukutunikia unachostahili mheshimiwa wetu. Wewe wabane tu kikamilifu hao wababaishaji. Sisi tunataka matokeo chanya na tuko pamoja na wewe kiongozi wetu.
 

RC Makonda unaona viongozi wanao tambua majukumu yao?

Msikilize Bashe vizuri, anaweka mambo clear anacho taka kifanyike. Humsikii kila wakati aki taja taja Magufuli bila sababu.

Hivi ndivyo kiongozi mwenye msimamo anavyo takiwa ku act. Yeye anajitambua kuwa kapewa madaraka na mamlaka ya kisheria kusimamia maendeleo katika wizara ya kilimo. Kwa hiyo ni wajibu wake kujua wapi kuna matatizo na kufanya mpango wa kuyatatua matatizo hayo. Ni wajibu wake. Full stop. Na sio Magufuli kasema hivi, oo tumpongeze Rais wetu and blaa blaa blaa!

Lakini wewe una luka luka weee, mpka Rais akikushtua ndiyo unaanza kulalamika, watendaji wangu walikuwa hivi, mala watendaji wangu wameniangusha and so on and so on! Yanini? Wewe umekabidhiwa hayo madaraka ni wajibu wako ku deal nao. Sisi tunacho taka ni matokeo.

Wewe unawajua jinsi watendaji wako walivyo wanyooshe sasa na sio kulalamika kwetu. Unatulalamikia sisi tuwafanye nini? Kama unaona hawa perform inavyo stahili mwambie Rais au waziri Mkuu watajua nini cha kufanya. Watonye tu kwao usiwaonee huruma. Hayo mamlaka RC Makonda uliyopewa ya kuongoza hili jiji ni makubwa!

Naibu waziri Bashe anapiga show lakini wakati huo huo anaweka msimamo. Hata wananchi wakimwona wana sema yes, huyu ndiyo kiongozi!

RC Makonda wewe ni kiongozi wa show off na mbwe mbwe nyingiii, lakini tukija kwenye out come it is almost ZERO!

Nakuomba radhi RC Makonda kama nitakuwa ninakukwaza. Najua wewe ni mzalendo kama mimi najaribu tu kukusaidia uuone wapi unakwama na ujirekebishe vipi.

Hili jiji Rais wetu alilo kupa ni kubwa sana na gumu sana kuli control. Kwa hali hiyo ina hitaji busara kubwa sana kutambua kuwa Rais amekuamini sana. Mwonyeshe Rais kuwa wewe utalikabili na kuliweka katika hali inayo takiwa. Katika uongozi usipende kupendwa na watu wote, wako watakao kubeza na kukurudisha nyuma. Usikubali mdogo wangu. Pigana pigana tu. Rais bado ana imani na wewe, usimwangushe!

Haya mambo ya wasanii na michezo mwachie Waziri Mwakyembe ana yaweza vizuri sana. Wewe deal na changamoto za Jiji letu kiasi kwamba ukitoka jina lako libaki for an eternity mdogo wangu.

Simamia miradi yote hata ile ya barabara za mitaa, masoko, majengo, shule, hospitali na miradi ya mazingira na kadhalika na washirikishe Mawaziri na Rais kwenye projects ambazo zitaleta ajira kwa vijana.

Komaa kijana wetu, komaa, sisi tuko pamoja na wewe. Mungu atakusaidia.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom