shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 890
- 1,398
GTs,
Imekuwa ni kawaida wanyama waharibufu wa mazao (mfano kwelea kwelea kuuawa) kwa kutumia sumu.
Je hakuna njia mbadala ya kuwathibiti hawa wanyama waharibufu zaidi ya kuwaua kwa sumu?
Nini maoni yako?
Imekuwa ni kawaida wanyama waharibufu wa mazao (mfano kwelea kwelea kuuawa) kwa kutumia sumu.
Je hakuna njia mbadala ya kuwathibiti hawa wanyama waharibufu zaidi ya kuwaua kwa sumu?
Nini maoni yako?