Ushauri: Manunuzi ya spares - new or used

ProBook

JF-Expert Member
Jan 13, 2012
558
257
Wanajamvi,

Najua ni mara nyingi ushajikuta mahali ambapo gari lako linatakiwa ununue spare mbalimbali.

Sasa najua wengi hapa twatengeneza gari kwa mafundi mchundo na najua ushawahi kukutana na scenario ya fundi kukuambia Used spare ni bora kuliko spare mpya na wachache sanah husema spea mpya ni nzuri kuliko used.

Na katika kununua zipo shida kadha wa kadha kama ifuatavyo:

1. Used spare unanunua inakaa maisha marefu sana

2. Used spare unanunua haikai zaidi ya week moja

3. Spare mpya wanunua haikai hata week moja

4. Spare mpya wanunua inadumu kwa muda mrefu sana

Mimi binafsi gari langu lilikiwa na shida ya shookups. Yaani gari nkiendesha lina kelele miguu inagonga masaa yote.

Nikaenda nunua shookups mpya kabisa kwa ushauri wa fundi, baada ya kufunga zikaanza kugonga hapo hapo baada ya kutoka garage na ni shookups mpya.

Fundi akasema oohh shookup mpya na spring za zamani kwa hiyo lazima ziwe zinagonga. Akashauri niende nunua shookup assembly na spring yake ambazo ni used.

Sasa napata shida kidogo, maana nahisi naweza nikanunua used zikawa sio sawa,

Sasa wakuu naomba tushauriane, kutokana na uzoefu, ipi ni spare bora kati ya mpya au used, na kama wataka spare original inapatikana wapi?

Je ni sahihi kununua shookup assembly ambayo ni used?

Gari ni Harrier Old Model
 
Inagongaje? Front shocks au Rear shocks?

Pia angalia Bushi kama zpo sawa.. Hzo zikiisha hupelekea chuma kugonga direct.. Bila kizuiz cha rubber..

Tukija kwa matair ya mbele hasa ktk section ya joints na vikombe vyake huwa kuna vi raba vinachoka hvyo hugonga chuma kwa chuma.. Hili linatokea hasa kpnd cha mvua../kupitisha ktk maji sana.

Kifaa used ambacho tunajiaminisha kinadumu kuliko kipya ni upuuz kwasababu kifaa used mwanzo kilikuwa kipya!

Point hapa ni kununua Vifaa Genuine kabisa kutoka kwa Authorised/verified dealers..
 
Wanajamvi,

Najua ni mara nyingi ushajikuta mahali ambapo gari lako linatakiwa ununue spare mbalimbali.

Sasa najua wengi hapa twatengeneza gari kwa mafundi mchundo na najua ushawahi kukutana na scenario ya fundi kukuambia Used spare ni bora kuliko spare mpya na wachache sanah husema spea mpya ni nzuri kuliko used.

Na katika kununua zipo shida kadha wa kadha kama ifuatavyo:

1. Used spare unanunua inakaa maisha marefu sana

2. Used spare unanunua haikai zaidi ya week moja

3. Spare mpya wanunua haikai hata week moja

4. Spare mpya wanunua inadumu kwa muda mrefu sana

Mimi binafsi gari langu lilikiwa na shida ya shookups. Yaani gari nkiendesha lina kelele miguu inagonga masaa yote.

Nikaenda nunua shookups mpya kabisa kwa ushauri wa fundi, baada ya kufunga zikaanza kugonga hapo hapo baada ya kutoka garage na ni shookups mpya.

Fundi akasema oohh shookup mpya na spring za zamani kwa hiyo lazima ziwe zinagonga. Akashauri niende nunua shookup assembly na spring yake ambazo ni used.

Sasa napata shida kidogo, maana nahisi naweza nikanunua used zikawa sio sawa,

Sasa wakuu naomba tushauriane, kutokana na uzoefu, ipi ni spare bora kati ya mpya au used, na kama wataka spare original inapatikana wapi?

Je ni sahihi kununua shookup assembly ambayo ni used?

Gari ni Harrier Old Model
Inategemean na shockup zipi ambzo imeweka mfano kwa watumiaji wa magari ya Toyota shockup zake genuine kabisa zinaanzia laki 5 kwa moja sasa kama umeweka hizi za elfu hamsini tegemea kugonga kama kawaida na mafundi wengi wanashauri ununue used kwa sababu wanaamini wamiliki wengi wa magari hawapendi genuine spare mpya badala yake wachukue used ambayo ilikua genuine wakati inawekwa mpya
 
Nikaenda nunua shookups mpya kabisa kwa ushauri wa fundi, baada ya kufunga zikaanza kugonga hapo hapo baada ya kutoka garage na ni shookups mpya.
Fundi ilitakiwa akague kwanza na maeneo mengine kama ilivyo shauriwa hapa chini
Bushi kama zpo sawa.. Hzo zikiisha hupelekea chuma kugonga direct.. Bila kizuiz cha rubber..

Tukija kwa matair ya mbele hasa ktk section ya joints na vikombe vyake huwa kuna vi raba vinachoka hvyo hugonga chuma kwa chuma..
Hili swala la bush kwisha hujitokeza pia kwa gari zingine, ila kwa haraka mafundi husema ni shockup wakati sio
 
Wanajamvi,

Najua ni mara nyingi ushajikuta mahali ambapo gari lako linatakiwa ununue spare mbalimbali.

Sasa najua wengi hapa twatengeneza gari kwa mafundi mchundo na najua ushawahi kukutana na scenario ya fundi kukuambia Used spare ni bora kuliko spare mpya na wachache sanah husema spea mpya ni nzuri kuliko used.

Na katika kununua zipo shida kadha wa kadha kama ifuatavyo:

1. Used spare unanunua inakaa maisha marefu sana

2. Used spare unanunua haikai zaidi ya week moja

3. Spare mpya wanunua haikai hata week moja

4. Spare mpya wanunua inadumu kwa muda mrefu sana

Mimi binafsi gari langu lilikiwa na shida ya shookups. Yaani gari nkiendesha lina kelele miguu inagonga masaa yote.

Nikaenda nunua shookups mpya kabisa kwa ushauri wa fundi, baada ya kufunga zikaanza kugonga hapo hapo baada ya kutoka garage na ni shookups mpya.

Fundi akasema oohh shookup mpya na spring za zamani kwa hiyo lazima ziwe zinagonga. Akashauri niende nunua shookup assembly na spring yake ambazo ni used.

Sasa napata shida kidogo, maana nahisi naweza nikanunua used zikawa sio sawa,

Sasa wakuu naomba tushauriane, kutokana na uzoefu, ipi ni spare bora kati ya mpya au used, na kama wataka spare original inapatikana wapi?

Je ni sahihi kununua shookup assembly ambayo ni used?

Gari ni Harrier Old Model

Nikwambie tu Bro. hapo ulipigwa...alitakiwa kufungua na kurudisha achukue nyingine, binafsi niingemjia juu hadi hiyo spare arudishe.

Iko hivi, zipo new spares ambazo zina OEM standards na bei iko juu, unapoenda dukani na kupeleka sample yako waulize na waambie kabisa hutaki na unahitaji original... mchina, bei zinatofautiana.

Used za hapa Dar es Salaam mfano hizo suspension na shockups unaweza pia pata complete ama hiyo shockup unayohitaiji maeneo kama tandale sweet corner, urafiki, temeke na ilala.

Na ukiletewa na fundi kama umemuagiza ofcourse ataweka cha juu lazima ujue imetoka wapi....urafiki....tandale, temeke ama ilala, kama ni ilala baadhi huzitoa Dubai, Uganda na sehemu nyingine ambazo magari yamekatwa siyo wote, wengine wanazitoa pale tandale, temeke na urafiki kwenye magari yaliyokatwa wanapiga rangi kisha wanazichanganya na mzigo wa kwa muarabu.

Halafu ukinunua shockups mzee Baba si unajaribu ama tafuta mtu anayejua shockup zilizojazwa .... maana nyingi zimejazwa. Halafu huyo fundi mpuuzi anataka kukupiga hapo kwenye spring, kwani imevunjika ?

Wazee tujifunze kwenda wenyewe, chukua spare yako ingia madukani tuache tabia za kutuma mafundi wanatupiga saaana.

Kama unaona huwezi nicheki mimi nikakuchukulie ntakuchaji 10,000 na nauli. Kuliko upigwe na hujui umepigwaje pigwaje afadhali unilipe hiyo huduma
 
Nikwambie tu Bro. hapo ulipigwa...alitakiwa kufungua na kurudisha achukue nyingine, binafsi niingemjia juu hadi hiyo spare arudishe.

Iko hivi, zipo new spares ambazo zina OEM standards na bei iko juu, unapoenda dukani na kupeleka sample yako waulize na waambie kabisa hutaki na unahitaji original... mchina, bei zinatofautiana.

Used za hapa Dar es Salaam mfano hizo suspension na shockups unaweza pia pata complete ama hiyo shockup unayohitaiji maeneo kama tandale sweet corner, urafiki, temeke na ilala.

Na ukiletewa na fundi kama umemuagiza ofcourse ataweka cha juu lazima ujue imetoka wapi....urafiki....tandale, temeke ama ilala, kama ni ilala baadhi huzitoa Dubai, Uganda na sehemu nyingine ambazo magari yamekatwa siyo wote, wengine wanazitoa pale tandale, temeke na urafiki kwenye magari yaliyokatwa wanapiga rangi kisha wanazichanganya na mzigo wa kwa muarabu.

Halafu ukinunua shockups mzee Baba si unajaribu ama tafuta mtu anayejua shockup zilizojazwa .... maana nyingi zimejazwa. Halafu huyo fundi mpuuzi anataka kukupiga hapo kwenye spring, kwani imevunjika ?

Wazee tujifunze kwenda wenyewe, chukua spare yako ingia madukani tuache tabia za kutuma mafundi wanatupiga saaana.

Kama unaona huwezi nicheki mimi nikakuchukulie ntakuchaji 10,000 na nauli. Kuliko upigwe na hujui umepigwaje pigwaje afadhali unilipe hiyo huduma
Tatizo la wamiliki wengi wa magari hawapendi genuine spare kabisa halafu fundi yeye anapenda kuwawekea wateja wake vifaa feki tu ili mradi apate cha juu? Mfano ni oil na filter akija fundi kununua atakwambia naomba oil ya bei rahisi kuliko zote na oil filter ya osk au ya bei rahisi kuliko zote pia ukimuuliza kwann utafute kitu ambacho hakiendani na hiyo gari yeye atakwambia gari sio yangu nitakuwekeaje kitu kizuri halafu kesho usirudi?
 
Back
Top Bottom