kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,715
- 13,182
anachomanisha huyo hujaelewa nivema ukaulizaWee mtoa hoja pumbavu kweli elewa huwezi kuingia nchi nyingine bila ya kuwa na covid 19 negative certificate na lazima iwe valid(ni 72hrs only)na aliporudi nchini alifanyiwa rapid covid test pale JNIA,sio lazima kuandika mada kama hujaifanyia utafiti na wewe ni nani wa kuamua kuwa VP awekwe karantiini?