Mwenda_Pole
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 281
- 66
Heshima Mbele wadau,
Ningependa kupata real experience kwa wale ambao wamewahi kuezeka kwa mabati ya geji 30 tofauti ya ya geji 28.
Mimi nipo Dodoma, kuna kajumba kangu kamefikia hatua ya kuezeka. Mfukoni sipo vizuri sasa najiuliza niendelee na uamuzi wa kununua haya mabati ya geji 30 au mnasemaje wadau.
Ningependa kupata ushauri kwa wale waliowahi kupata experience halisia waweze kunisaidia kabla ya kufanya maamuzi haya ya kununua geji 30.
Natanguliza shukrani.
Ningependa kupata real experience kwa wale ambao wamewahi kuezeka kwa mabati ya geji 30 tofauti ya ya geji 28.
Mimi nipo Dodoma, kuna kajumba kangu kamefikia hatua ya kuezeka. Mfukoni sipo vizuri sasa najiuliza niendelee na uamuzi wa kununua haya mabati ya geji 30 au mnasemaje wadau.
Ningependa kupata ushauri kwa wale waliowahi kupata experience halisia waweze kunisaidia kabla ya kufanya maamuzi haya ya kununua geji 30.
Natanguliza shukrani.