Ushauri: Edward Lowassa asikanyage Arumeru, atamponza Sioi

Mkuu Pasco Lowasa niliyemuona jana kwenye TV hayuko Fit kama alivyosema na nakuambia HAWEZI hata kusimama Jukwaani kwa Dakika Ishirini lazima Aende Chini. Lowasa ni MGONJWA

Anaonekana kama ana jipu kwa kibofu cha kojo, anajilazimisha kucheka ili aonekane angalau angalau! anatembea kwa kujikakamua sana, ene wei taim wili tell. tambueni kuwa binadamu hapendi kufa, anasema yuko fiti tayari kwa mapambano, nani kamwambi kuna vita kama si kutaka tufikiri lowasa! lowasa. nkewe ndio amfikirie hivyo atukome. awageuze geuze wamasai huko huko!! mwambieni asijichuuze.
 
Mayala kweli kibaruwa cha Salva Rweyemamu umekipania kweli kweli, yaani huyu Salva siku akisikia Lowasa ameshinda uteuzi ndani ya CCM basi aanze kukusanya virago vyake arudi kwenye vijiwe vyake vya media house.
 
Wewe Pasco leo umepotoka, alafu kwanini unamshobokea shobokea huyu EL, anakupa nini hasa? Lazima kuna kitu nyuma kimejificha. EL mimi namuona mwizi tu wa rasirimali zetu, huyu EL namuweka katika kundi moja na Mkapa, hata wakifa kesho siwezi kuwakumbuka kwa lolote jema.
. Aaaaa jamani hamuwezi hata kuangalia picha!Pasco ndo hivyo tena si mwenzetu na EL nae Kibela unadhani nn kinaendela hapo mtu mzm haambiwi maana
 
Kama Siyoi anayegombea ubunge ndiye yule niliyemuona jana TBC akisema atawaombea watu wa Arumeru ajira kwenye chuo cha Nelson Mandela ni bora hata kuchagua mmachinga anaweza kuwa na fikra za kimaendeleo kuliko huyu
 
Tunamtaka Lowassa aje amsaidie Mkapa kumalizia kujibu maswali ambayo hakuyajibu.
Si walisaidiana? na kujibu wasaidiane.
 
Mayala kweli kibaruwa cha Salva Rweyemamu umekipania kweli kweli, yaani huyu Salva siku akisikia Lowasa ameshinda uteuzi ndani ya CCM basi aanze kukusanya virago vyake arudi kwenye vijiwe vyake vya media house.
Mkuu bora umemtaja huyu jamaa kumbe ndie yule ripota wa vipindi vya 77 na 88 kwenye Tvs mbalimbali.
 
Wanabodi,
Huu ni ushauri wangu wa bure kwa Mhe. Edward Ngoyai Lowassa kuwa japo amerejea nchini akiwa fit na yuko tayari kwa mapambano yoyote, namshauri asitumbukize mguu wake kwenye kampeni za uchaguzi mdogo wa Arumeru ili asimponze bure Sioi!.

Mimi ni miongoni wa wale wakweli wachache humu jujwaani "we take people for who they are not what they are" hivyo tunamkubali Lowassa kwa uwezo wake wa maneno machache na vitendo virefu, tofauti na wenzetu wengi humu wanaowashangilia watu wa maneno mareefu na vitendo sifuri!.

Nimemshauri Mhe. Lowassa asitie mguu Arumeru kwa sababu Sioi anaweza kusimama mwenyewe na kutembea bila "walker"!, na pia anaweza kukamata kijiko na kula mwenyewe bila kuhitaji kulishwa, "spoon fed" na ba mkwe!.

Kufuatia maneno maneno ya the role of EL kwenye uchaguzi wa ndani wa CCM kulikopelekea Sioi kupitishwa, let this role end off inside CCM sasa "its high time let the people say!" tusiwasemee wana Arumeru kwa fulana, kofia na shibe ya siku moja!, Tuwaache wana Arumeru wajichagulie chaguo lao ambalo tayari walishachagua wanasubiri tuu kuthibitisha, hivyo Lowassa hana sababu kabisa hata ya kutumbukiza mguu wake ili kijana athibitishe amepata ushindi wa kishindo wa yeye kama Sioi na sio kushinda kwa kusaidiwa na ba mkwe!.

Ingekuwa Sioi ni mwana CCM mwingine tuu wa kawaida asiye na nasaba yoyote na Lowassa, ningemshauri Lowassa apige kabisa kambi Arumeru, lakini kwa vile Sioi na yeye ni mtu na mkwewe, Lowassa akitia mguu Arumeru na atatibua ushindi laini wa Sioi kuonekana umepatikana kwa nguvu za ziada ambazo kiukweli hazihitajiki!.

Juzi nilifurahi kumuona EL ITV kwani sasa wamelift ile ban yao kwake, na aliposema yuko fit kwa mapambano yoyote, namshauri ahifadhi nguvu zake kutengeneza the "winning coalition" yake ndani ya uchaguzi wa ndani wa CCM ili 2015 yeye ndie apitishwe kuwa mgombea wa CCM huo ufit wake aje auonyeshe kwenye uwanja rasmi wa mapambano ya kweli ili tupate rais kutoka Kaskazini na kupata ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania!.

Naomba kuawasilisha.

Pasco
Update
Wanabodi, kushindwa kwa Sioi ni matokeo ya kuupuuza ushauri huu!.

Mimi nilimtegemea Sioi ashinde kwa kura za symphathetic votes ili kumfuta machozi ya kufiwa. EL kamponza kijana kapigwa chini!.

Wenye uwezo wa kunielewa naomba mnielewe, wale wengine msio na uwezo, nieleweni hivyo hivyo mnavyoelewa maana huo ndio uelewa wenu.

Pasco.
 
Update
Wanabodi, kushindwa kwa Sioi ni matokeo ya kuupuuza ushauri huu!.

Mimi nilimtegemea Sioi ashinde kwa kura za symphathetic votes ili kumfuta machozi ya kufiwa. EL kamponza kijana kapigwa chini!.

Wenye uwezo wa kunielewa naomba mnielewe, wale wengine msio na uwezo, nieleweni hivyo hivyo mnavyoelewa maana huo ndio uelewa wenu.

Pasco.

Wenye maswali kuhusu nilichosema, majibu yako hapa, EL ndiye aliyemponza Sioi!.
 
Update
Wanabodi, kushindwa kwa Sioi ni matokeo ya kuupuuza ushauri huu!.

Mimi nilimtegemea Sioi ashinde kwa kura za symphathetic votes ili kumfuta machozi ya kufiwa. EL kamponza kijana kapigwa chini!.

Wenye uwezo wa kunielewa naomba mnielewe, wale wengine msio na uwezo, nieleweni hivyo hivyo mnavyoelewa maana huo ndio uelewa wenu.

Pasco.

Pasco,

..Lowassa hakumponza Siyoi.

..ukweli ni kwamba Nassary is a better politician when u compare him to Siyoi.

..jaribu kuwasikiliza wote wawili halafu uniambie ni yupi ana-command jukwaa.

..kitu kingine ni Siyoi kuzungukwa na wapambe na mavuvuzela who prevented him frm taking his message to the voters.

..wapiga debe wa CCM walikuwa wanafanya kazi ya kukisafisha na kukitetea chama instead of kumuuza na kumtangaza Siyoi kwa wapiga kura.

..kwa mfano: who was interested kujua mambo ya CCM na harakati za ukombozi? kwanini wasitumie muda huo kumtangaza Siyoi???
 
Wanabodi,
Huu ni ushauri wangu wa bure kwa Mhe. Edward Ngoyai Lowassa kuwa japo amerejea nchini akiwa fit na yuko tayari kwa mapambano yoyote, namshauri asitumbukize mguu wake kwenye kampeni za uchaguzi mdogo wa Arumeru ili asimponze bure Sioi!.

Mimi ni miongoni wa wale wakweli wachache humu jujwaani "we take people for who they are not what they are" hivyo tunamkubali Lowassa kwa uwezo wake wa maneno machache na vitendo virefu, tofauti na wenzetu wengi humu wanaowashangilia watu wa maneno mareefu na vitendo sifuri!.

Nimemshauri Mhe. Lowassa asitie mguu Arumeru kwa sababu Sioi anaweza kusimama mwenyewe na kutembea bila "walker"!, na pia anaweza kukamata kijiko na kula mwenyewe bila kuhitaji kulishwa, "spoon fed" na ba mkwe!.

Kufuatia maneno maneno ya the role of EL kwenye uchaguzi wa ndani wa CCM kulikopelekea Sioi kupitishwa, let this role end off inside CCM sasa "its high time let the people say!" tusiwasemee wana Arumeru kwa fulana, kofia na shibe ya siku moja!, Tuwaache wana Arumeru wajichagulie chaguo lao ambalo tayari walishachagua wanasubiri tuu kuthibitisha, hivyo Lowassa hana sababu kabisa hata ya kutumbukiza mguu wake ili kijana athibitishe amepata ushindi wa kishindo wa yeye kama Sioi na sio kushinda kwa kusaidiwa na ba mkwe!.

Ingekuwa Sioi ni mwana CCM mwingine tuu wa kawaida asiye na nasaba yoyote na Lowassa, ningemshauri Lowassa apige kabisa kambi Arumeru, lakini kwa vile Sioi na yeye ni mtu na mkwewe, Lowassa akitia mguu Arumeru na atatibua ushindi laini wa Sioi kuonekana umepatikana kwa nguvu za ziada ambazo kiukweli hazihitajiki!.

Juzi nilifurahi kumuona EL ITV kwani sasa wamelift ile ban yao kwake, na aliposema yuko fit kwa mapambano yoyote, namshauri ahifadhi nguvu zake kutengeneza the "winning coalition" yake ndani ya uchaguzi wa ndani wa CCM ili 2015 yeye ndie apitishwe kuwa mgombea wa CCM huo ufit wake aje auonyeshe kwenye uwanja rasmi wa mapambano ya kweli ili tupate rais kutoka Kaskazini na kupata ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania!.

Naomba kuawasilisha.

Pasco
Update
Wanabodi, kushindwa kwa Sioi ni matokeo ya kuupuuza ushauri huu!.

Mimi nilimtegemea Sioi ashinde kwa kura za symphathetic votes ili kumfuta machozi ya kufiwa. EL kamponza kijana kapigwa chini!.

Wenye uwezo wa kunielewa naomba mnielewe, wale wengine msio na uwezo, nieleweni hivyo hivyo mnavyoelewa maana huo ndio uelewa wenu.

Pasco.

Asante mkuu Pasco kwa kunishirikisha andiko hili.
Kimsingi uliandika mengi mazuri, lakini nafikiri kubwa kuliko yote ni kipande hiki ".....tusiwasemee wana Arumeru kwa fulana, kofia na shibe ya siku moja!..."(painted blue) Sasa basi, neno hili linaakisi namna CCM inavyoapproach chaguzi. Watanzania wa leo hawapofushwi kwa zawadi hizi tena, wamebadilika. Na hapo ndipo nasisitiza uwepo wa multiple realities tuazozipima kwa kipimo cha wakati na muda.

Pamoja na kuizungumzia CCM na wananchi, mapungufu kwenye andiko hili ni kuidharau nguvu ya CHADEMA. Kwa mtazamo wangu, hata kama Lowasa asieenga Arumeru, bado CCM isingefua dafu kwa CHADEMA maana mbinu za CHADEMA zinaifanya iwe karibu zaidi na wananchi kuliko CCM inayojivunia kiburi na kutojali kwa viongozi wake waandamizi. Kwa mfano sio ajabu kuwasikia viongozi wa CCM wanajivuna kuwa 'wao ndio serikali'. Sasa kama wao ndio serikali so what? hivyo serikali inaposhindwa kusimamia sheria na ustawi wa jamii CCM ndio inaumia..maana hamna CCM bila wenyewe ambao leo hii ndio wanaiua.
 
Baada ya Edward Lowassa kusifiwa na rais Magufuli kuwa ni Superman, namdurufu kidogo Lowassa kwa kujikumbusha niliwahi kusema nini kuhusu mtu huyu.
P
 
Wanabodi,
Huu ni ushauri wangu wa bure kwa Mhe. Edward Ngoyai Lowassa kuwa japo amerejea nchini akiwa fit na yuko tayari kwa mapambano yoyote, namshauri asitumbukize mguu wake kwenye kampeni za uchaguzi mdogo wa Arumeru ili asimponze bure Sioi!.
Pasco
Update
Wanabodi, kushindwa kwa Sioi ni matokeo ya kuupuuza ushauri huu!.
Pasco.
Kuanzia leo mpaka atakapo pumzishwa kwenye makao yake ya milele, as my tribute to this fallen hero, let's celebrate the life and the time of Edward Lowassa.

RIP Shujaa Edward Lowassa, umepigana vita vilivyo vitakatifu, imani umeilinda.
Bwana alileta Bwana ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.

Paskali
 
Wanabodi,
Huu ni ushauri wangu wa bure kwa Mhe. Edward Ngoyai Lowassa kuwa japo amerejea nchini akiwa fit na yuko tayari kwa mapambano yoyote, namshauri asitumbukize mguu wake kwenye kampeni za uchaguzi mdogo wa Arumeru ili asimponze bure Sioi!.

Mimi ni miongoni wa wale wakweli wachache humu jujwaani "we take people for who they are not what they are" hivyo tunamkubali Lowassa kwa uwezo wake wa maneno machache na vitendo virefu, tofauti na wenzetu wengi humu wanaowashangilia watu wa maneno mareefu na vitendo sifuri!.

Nimemshauri Mhe. Lowassa asitie mguu Arumeru kwa sababu Sioi anaweza kusimama mwenyewe na kutembea bila "walker"!, na pia anaweza kukamata kijiko na kula mwenyewe bila kuhitaji kulishwa, "spoon fed" na ba mkwe!.

Kufuatia maneno maneno ya the role of EL kwenye uchaguzi wa ndani wa CCM kulikopelekea Sioi kupitishwa, let this role end off inside CCM sasa "its high time let the people say!" tusiwasemee wana Arumeru kwa fulana, kofia na shibe ya siku moja!, Tuwaache wana Arumeru wajichagulie chaguo lao ambalo tayari walishachagua wanasubiri tuu kuthibitisha, hivyo Lowassa hana sababu kabisa hata ya kutumbukiza mguu wake ili kijana athibitishe amepata ushindi wa kishindo wa yeye kama Sioi na sio kushinda kwa kusaidiwa na ba mkwe!.

Ingekuwa Sioi ni mwana CCM mwingine tuu wa kawaida asiye na nasaba yoyote na Lowassa, ningemshauri Lowassa apige kabisa kambi Arumeru, lakini kwa vile Sioi na yeye ni mtu na mkwewe, Lowassa akitia mguu Arumeru na atatibua ushindi laini wa Sioi kuonekana umepatikana kwa nguvu za ziada ambazo kiukweli hazihitajiki!.

Juzi nilifurahi kumuona EL ITV kwani sasa wamelift ile ban yao kwake, na aliposema yuko fit kwa mapambano yoyote, namshauri ahifadhi nguvu zake kutengeneza the "winning coalition" yake ndani ya uchaguzi wa ndani wa CCM ili 2015 yeye ndie apitishwe kuwa mgombea wa CCM huo ufit wake aje auonyeshe kwenye uwanja rasmi wa mapambano ya kweli ili tupate rais kutoka Kaskazini na kupata ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania!.

Naomba kuawasilisha.

Pasco
Update
Wanabodi, kushindwa kwa Sioi ni matokeo ya kuupuuza ushauri huu!.

Mimi nilimtegemea Sioi ashinde kwa kura za symphathetic votes ili kumfuta machozi ya kufiwa. EL kamponza kijana kapigwa chini!.

Wenye uwezo wa kunielewa naomba mnielewe, wale wengine msio na uwezo, nieleweni hivyo hivyo mnavyoelewa maana huo ndio uelewa wenu.

Pasco.
😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Kuanzia leo mpaka atakapo pumzishwa kwenye makao yake ya milele, as my tribute to this fallen hero, let's celebrate the life and the time of Edward Lowassa.

RIP Shujaa Edward Lowassa, umepigana vita vilivyo vitakatifu, imani umeilinda.
Bwana alileta Bwana ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.

Paskali

Maisha yetu yanataka tuwe tayari kusikiliza inner voice...kusikiliza nje kuna radi gani...na baadae kujifunza kubalance. Hatuishi milele.
Kwa mema yako uliyoitendea nchi yetu, Mungu akupe msamaha. Upumzike kwa amani. Ila kwako najifunza, hakuna ukweli katika kulishana yamini na wanadamu wenzetu.
Tumtumaini na kumtumikia Mungu wetu tu. Maana hawezi kutugeuka
 
Back
Top Bottom