scatter
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,667
- 925
Lazima tukubali uchumi wa nchi yetu ili ukue kwa kasi katika kila kanda hasa kwenye miradi ya maendeleo kuna ulazima wa serikali kama wanaweza wagawe kanda za kiuchumi na kuwe na account maalum pale hazina inayosimamia miradi hii
Mfano pawe na South economic zone accout, central economic zone,middle economic zone, west economic zone,east economic zone na north.
Hizi account zitasaidia kurahisisha ufanisi wa maamuzi ya matumizi ya pesa za umma na hata kuzuia ubadhirifu kwani makusanyo ya pesa yatakua yanajulikana kwa kanda zote hivyo ufuatiliaji wa pesa hizi unakua rahisi sana.
Pia itazifanya halmashauri mbalimbali kujua wanakwama wap kwenye makusanyo kwa kila kanda.
Pia ipo haja ya kubuni mfumo wa DIGITAL ambao utakua una - link kati ya takukuru na hazina nchi nzima kuweza kuzifuatilia hizi pesa maana kwa hali ya sasa tunaona uzembe na ubadhirifu ukishafanyika then ndio wanaitwa takukuru wachunguze kodi zetu zilizopetea ìnauma sana maana inachuka muda watu wanafilisiwa au wanafungwa lakini pesa zimeshapotea.
Pia hii link ya kidigital IWE SPECIAL KATI YA HAZINA ,TAKUKURU,NA OFISI YA CAG ambao kama itafanya kazi nafasi za ajira zitakuwa nyingi kwa kada mbali mbali na itakua ni muarobaini wa kukomesha matumizi mabaya ya fedha ya umma.
Hazina ya sasa ina usiri mkubwa sana ndio maana rushwa hazitaisha tutawaonea sana wakurugenzi tutalazimisha sana watu wafanye mambo ambayo si taaluma zao then kitakacho kuja kutukea ni ubadhirifu ,wizi mkubwa kwenye pesa za maendeleo kwa hii miaka mitano ya mwisho.
Kama litafanikiwa hili ma Dc ,RC DAS na RAS na wenyeviti wa vyama wataweza kufanya kazi bila pressure kwani watakuwa wamezungukwa na watalaam.
Ukweli lazima usemwe.
Mfano pawe na South economic zone accout, central economic zone,middle economic zone, west economic zone,east economic zone na north.
Hizi account zitasaidia kurahisisha ufanisi wa maamuzi ya matumizi ya pesa za umma na hata kuzuia ubadhirifu kwani makusanyo ya pesa yatakua yanajulikana kwa kanda zote hivyo ufuatiliaji wa pesa hizi unakua rahisi sana.
Pia itazifanya halmashauri mbalimbali kujua wanakwama wap kwenye makusanyo kwa kila kanda.
Pia ipo haja ya kubuni mfumo wa DIGITAL ambao utakua una - link kati ya takukuru na hazina nchi nzima kuweza kuzifuatilia hizi pesa maana kwa hali ya sasa tunaona uzembe na ubadhirifu ukishafanyika then ndio wanaitwa takukuru wachunguze kodi zetu zilizopetea ìnauma sana maana inachuka muda watu wanafilisiwa au wanafungwa lakini pesa zimeshapotea.
Pia hii link ya kidigital IWE SPECIAL KATI YA HAZINA ,TAKUKURU,NA OFISI YA CAG ambao kama itafanya kazi nafasi za ajira zitakuwa nyingi kwa kada mbali mbali na itakua ni muarobaini wa kukomesha matumizi mabaya ya fedha ya umma.
Hazina ya sasa ina usiri mkubwa sana ndio maana rushwa hazitaisha tutawaonea sana wakurugenzi tutalazimisha sana watu wafanye mambo ambayo si taaluma zao then kitakacho kuja kutukea ni ubadhirifu ,wizi mkubwa kwenye pesa za maendeleo kwa hii miaka mitano ya mwisho.
Kama litafanikiwa hili ma Dc ,RC DAS na RAS na wenyeviti wa vyama wataweza kufanya kazi bila pressure kwani watakuwa wamezungukwa na watalaam.
Ukweli lazima usemwe.