mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,201
Wamejitahidi kutugawa kwa makabila wameshindwa, kwa dini wameshindwa sasa wanakuja na mipango isiyoelewekaUnatuletea mambo ya Ethiopia na majanga ya tigrey
Mungu ibariki Tanzania
Wamejitahidi kutugawa kwa makabila wameshindwa, kwa dini wameshindwa sasa wanakuja na mipango isiyoelewekaUnatuletea mambo ya Ethiopia na majanga ya tigrey
Pia usisahau kushauri vitengo maalumu vya makusanyo viongeze juhudi katika makusanyo,ili hats wanyonge wajinyonge vizuri.lazima tukubali uchumi wa nchi yetu ili ukue kwa kasi katika kila kanda hasa kwenye miradi ya maendeleo kuna ulazima wa serikali kama wanaweza wagawe kanda za kiuchumi na kuwe na account maalum pale hazina inayosimamia miradi hii...
Naomba unipe takwimu za contribution of national revenue za kutoka kila mkoaSo richest terms of minerals
Unafikiri matumizi mabaya ndio yanasababishwa na kutokuwepo kwa hizo kanda??Kama wanazijua kwanini pesa zinatumika vibaya..??
Kwa nini wizi upo?
Kwanini wakurugenzi waonekane wanafanya matumizi mabaya ya pesa?