Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wanajamvi
Kuna tatizo kubwa serikali yetu kuingia mikataba inayolinda maslai ya watanzania
Baada ya kunagalia documentary moja ya kipindi cha wanyama pori walioko zoo moja huko ulaya mimejiuliza maswali mengi..... Lakini baada ya kujiuliza maswali nimekuja na mapendekezo ambayp yakiwekwa mikataba ya kuuza wanyama wetu nje inaweza kuwa na manufaa zaidi tuliyonayo sasa.
Pendekezo la Kwanza
Tikiwapa/Tkiwauzia wanayama wetu tuwawkeee kipengele cha hati/haki miliki ibaki kwetu. Hata wanyama wataozaliwa na yule mnyama bado iwe haki miliki yetu.Tuweke kipengele ambapo huyo myama atakapokuwa yatawekwa maandishi kuwa katoka tanzania na apewe jina la kitanzania . Tuweke kipengele pia tukimuhitaji mnyama wetu tutamdai na kumrudisha na kuwarudishia peza zao.
Ikiwezekana mnyama akifa arudishwe tanzania kwa gharama zao afanyiwe mazsihi rasmi. No for this am joking
Pendekezo la Pili
Kwa kila mnayama aliyeuzwa kupelekwa kwenye zoo tutoze dola moja au mbili kwa siku kwa siku zote atakazokuwa kwenye zoo za huko ulaya. Hela zitakazo patikana ziingizwe kwenye mfuko wa kuhifadhi wanyama walio katika hatari ya kupotea.
Nimeshanga kuona wazungu wanahamisha mbuga za wanyama kwao.
Nimeshanga kuona zoo zinapata watalii na mapato kuliko hta serengeti na wale watalii shida yao ni kuona simba chui, etc.
Vipengele hivi naona ni mikataba endelevu kwa manufaa ya watanzania.
Nawasilisha kwa mjadala
Kuna tatizo kubwa serikali yetu kuingia mikataba inayolinda maslai ya watanzania
Baada ya kunagalia documentary moja ya kipindi cha wanyama pori walioko zoo moja huko ulaya mimejiuliza maswali mengi..... Lakini baada ya kujiuliza maswali nimekuja na mapendekezo ambayp yakiwekwa mikataba ya kuuza wanyama wetu nje inaweza kuwa na manufaa zaidi tuliyonayo sasa.
Pendekezo la Kwanza
Tikiwapa/Tkiwauzia wanayama wetu tuwawkeee kipengele cha hati/haki miliki ibaki kwetu. Hata wanyama wataozaliwa na yule mnyama bado iwe haki miliki yetu.Tuweke kipengele ambapo huyo myama atakapokuwa yatawekwa maandishi kuwa katoka tanzania na apewe jina la kitanzania . Tuweke kipengele pia tukimuhitaji mnyama wetu tutamdai na kumrudisha na kuwarudishia peza zao.
Ikiwezekana mnyama akifa arudishwe tanzania kwa gharama zao afanyiwe mazsihi rasmi. No for this am joking
Pendekezo la Pili
Kwa kila mnayama aliyeuzwa kupelekwa kwenye zoo tutoze dola moja au mbili kwa siku kwa siku zote atakazokuwa kwenye zoo za huko ulaya. Hela zitakazo patikana ziingizwe kwenye mfuko wa kuhifadhi wanyama walio katika hatari ya kupotea.
Nimeshanga kuona wazungu wanahamisha mbuga za wanyama kwao.
Nimeshanga kuona zoo zinapata watalii na mapato kuliko hta serengeti na wale watalii shida yao ni kuona simba chui, etc.
Vipengele hivi naona ni mikataba endelevu kwa manufaa ya watanzania.
Nawasilisha kwa mjadala